Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,180
- Thread starter
- #121
Uliandika kwa mguu ?Mkuu hii sio handwriting.Ukisema "handwriting" inamaa kwamba umeandika kwa mkono!Dah.
Uliandika kwa mguu ?Mkuu hii sio handwriting.Ukisema "handwriting" inamaa kwamba umeandika kwa mkono!Dah.
UDSM kupata GPA kubwa ni mziki sio utani ila sio kwamba watu hawapati wanapata sana tu ila ni mziki mnene mkuu sio utaniJapo mtoa post ni kama anakejeli, binafsi nipo Private na lecturers wengi katika vyuo hivi ni product ya UDSM. Na sifa mojawapo ya kuwa lecturer ni GPA isiyopungua 3.8. Sasa hiyo UDSM mnayoisingizia kuwa kupata GPA kubwa ni mziki ni ipi? Acheni kuufanya ujinga wenu kuwa wa Kitaifa
Hata kama nina kiingereza cha ugoko, Kiingereza hiki pia ni zao la hivyo vyuo nadhani. Si vibaya vikapongezwa.It's high time now to proud the private Universities for their work hard to produce students with quality knowledge than public universities.
Mimi mtoa mada nimepewa data za kutosha mkuu baadhi ya wanafunzi wa udom wanasema afadhali ya private Kuna unafuu wa GPA kuliko public.. Ila umu jukwaani watu sijui wamekula maharage ya mbarali sijui. Mijitu imekalia kejeli tu badala ya kuukubali uhalisiaUDSM kupata GPA kubwa ni mziki sio utani ila sio kwamba watu hawapati wanapata sana tu ila ni mziki mnene mkuu sio utani
Uwezo bora wa mwanafunzi hukibeba chuo, uwezo duni hukiaibisha chuo.Sio mbya mkuu kwani kimeharibika nini Mbona pameeleweka?
Hizo data zimebainisha sababu ya hali hiyo?Mimi mtoa mada nimepewa data za kutosha mkuu baadhi ya wanafunzi wa udom wanasema afadhali ya private Kuna unafuu wa GPA kuliko public.. Ila umu jukwaani watu sijui wamekula maharage ya mbarali sijui. Mijitu imekalia kejeli tu badala ya kuukubali uhalisia
Anasahau kuwa baadhi ya Private universities huchukua lecturers wenye below 3.8UDSM kupata GPA kubwa ni mziki sio utani ila sio kwamba watu hawapati wanapata sana tu ila ni mziki mnene mkuu sio utani
Huo uafadhali wa kupata GPA kubwa ukiwa private ni kwa sababu private wanamchukulia mwanafunzi kama mteja hivyo ukimkazia uzi wateja watakukimbiaMimi mtoa mada nimepewa data za kutosha mkuu baadhi ya wanafunzi wa udom wanasema afadhali ya private Kuna unafuu wa GPA kuliko public.. Ila umu jukwaani watu sijui wamekula maharage ya mbarali sijui. Mijitu imekalia kejeli tu badala ya kuukubali uhalisia
Umeona mkuu jamaa nashangaa kazi ya kukosoa wao hawandiki hee mijitu Congo hiiAndikeni kwa ngeli tujue graduate wa public mko vizuri vinginevyo itakuwa ni genye
Waache tu tatizo ni mfumo ndo umewaweka kwenye iyo hali.. English iko understanding to LOW GPA STUDENTSUmeona mkuu jamaa nashangaa kazi ya kukosoa wao hawandiki hee mijitu Congo hii
It's high time now to proud the private Universities for their work hard to produce students with quality knowledge than public universities.
Ndio maana hujui H KUNANIKiingereza ni janga la kitaifa kwa kweli.
Chelewa tu ivo ivo sie tunatingisha na GPA MURUAGPA SIO AKILI WALA UWEZO WA KUFANYA KAZI.