Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

Hahahaa kama hutokei St.Joseph ile ya wahindi sijui

Yaani bila data unataka tukuamini kwamba uko sahihi kwa usemayo?
Acha utani brother
Kwani hapa ndio wanatoa GPA kubwa na competent students? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwani hapa ndio wanatoa GPA kubwa na competent students? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana ila hizo mada kwa kawaida hutolewa na watu wasiojiamini na wanachokifanya
Sasa unawezaje kutoa tamko kubwa kiasi hicho bila kuleta utafiti hapa?

Atakua anasoma somewhere in private University ambako anaona yuko competent kwa mtazamo wake
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Cha zaid ulicho fanya hapa Umejiaibisha tuu
 
Hapana ila hizo mada kwa kawaida hutolewa na watu wasiojiamini na wanachokifanya
Sasa unawezaje kutoa tamko kubwa kiasi hicho bila kuleta utafiti hapa?

Atakua anasoma somewhere in private University ambako anaona yuko competent kwa mtazamo wake
Ndivyo ilivyo
 
Kulikuwa na ulazima hicho kichwa kiwe cha lugha hiyo?!!!!!

Kaka;
Weye umeshangaa kichwa tu?? Umeusoma uzi wenyewe?? Jamani, hii lugha ya malkia ililetwa na meli, tusiishabikie kihivyo. Ndo maana wengi mnasema tuiondoe kwenye kufundishia chuo kikuu. Nadhani alipata shida saana kumsikia lecturer ka alipitia chuo chochote. It is so pathetic.
 
Kaka;
Weye umeshangaa kichwa tu?? Umeusoma uzi wenyewe?? Jamani, hii lugha ya malkia ililetwa na meli, tusiishabikie kihivyo. Ndo maana wengi mnasema tuiondoe kwenye kufundishia chuo kikuu. Nadhani alipata shida saana kumsikia lecturer ka alipitia chuo chochote. It is so pathetic.
Mh wale wale
 
It's high time now to proud the private Universities for their work hard to produce students with quality knowledge than public universities.

I sincerely hope you are not one of the products of private universities. Your command of language that was used to teach you is awful.
 
Back
Top Bottom