Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

Congratulations to private Universities for producing the highest GPA and competent students

angalia recent rank ya vyuo bora Tz kama kwenye tano bora kuna chuo chochote cha private. achana na GPA za chini ya mti.
Ubora wa chuo ni kutoa wanafunzi competent na wafanisi Katika kazi mkuu na si vinginevyo
 
Vipi mleta mada bado una mzuka na hii mada? Hujistukii tangu jana kila anaye comment anakupinga au kukudhihaki bado huoni kama uko wrong?
Angalia tangu jana umepata like moja it means mada yako haina content ya maana just delete it bro
 
For their work hard to......[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3]
 
for produce....
tehe tehe tehe tehe mwe! bora yangu ninayejua Kipare tu
 
It's high time now to proud the private Universities for their work hard to produce students with quality knowledge than public universities.
Kiingereza hiki ndo maana nasisitiza mitalaa, ibadilishwe tufundishwe kwa kiswahili ,ona aibu hii ya GPA kubwa lkn shida, bora mie mwenye GPA ya kawaida ya heshima(with honours), kutoka Chuo cha umma, yote tisa, kumi tukutane field
 
Back
Top Bottom