NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
The issue here is not for government to pay or Tanesco to be held responsible to pay....i object..
Hii ni kwa sababu ikilipa Tanesco tunaumia sisi na kama ikilipa serikali bado waumiaji ni sisi
Kwa nini tuumie wakati kuna majitu na familia zao yanaendelea kutanua na kututukana mitaani kwa matumbo ya jeuri za fedha yetu
Ile sheria ya uhujumu uchumi kwani si ipo (though literally najua imeuliwa mbali) na itumike basi au kama sivyo raisi atumie mamlaka yake makubwa kupitiliza aliyopewa na katibu bome kutoa kauli ya kushughulikiwa majibwa haya yaliyotuingiza kweye utapeli wa aina hii for their crave for money
Sasa kama hata hili atashindwa then basi, historia itachukua mkondo wake na kumhukumu
Hii ni kwa sababu ikilipa Tanesco tunaumia sisi na kama ikilipa serikali bado waumiaji ni sisi
Kwa nini tuumie wakati kuna majitu na familia zao yanaendelea kutanua na kututukana mitaani kwa matumbo ya jeuri za fedha yetu
Ile sheria ya uhujumu uchumi kwani si ipo (though literally najua imeuliwa mbali) na itumike basi au kama sivyo raisi atumie mamlaka yake makubwa kupitiliza aliyopewa na katibu bome kutoa kauli ya kushughulikiwa majibwa haya yaliyotuingiza kweye utapeli wa aina hii for their crave for money
Sasa kama hata hili atashindwa then basi, historia itachukua mkondo wake na kumhukumu