mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
Naona hata Serikali ikilipa bado ni fedha zetu, tunahitaji waliotuingiza kwenye hii MIKITABA wafilisiwe na pesa yao ilipe hili deni.
Na kama wakifilisiwa mali zao zikaweza kulipa Deni, Tutawahoji walizipate!