Pendekezo lako linaelekea kufanana na la POAC walilotoa; serikali (si TANESCO tena) ndo ilipe gharama hizi!
Mungu atusaidie tupate na KIKOMBE cha kuponya NCHI
Pendekezo lako linaelekea kufanana na la POAC walilotoa; serikali (si TANESCO tena) ndo ilipe gharama hizi!
Hapa dhamira si kukatishana tamaa, tunataka 'Great Thinkers' tuziangalie kwa umakini hizi nondo na kuja na hoja za kuweza kubadili hali ya nchi. I believe we can, YES we CAN!