Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,114
- 2,070
Habari zenu wana jf
Nipende kukili kwamba sikua msikilizaji wa redio kwa mda mrefu sanaa lakini hii Corona imenifanya nisikilize redio mda mwingi kwakua nabaki nyumbani nikijilinda na haya maambukizi....
Nimevutiwa sanaa na redio clouds FM haswa kipindi cha LEO TENA pamoja na JAHAZI.. hivi vipindi vimejaa watu wenye utaalamu wa kutangaza na wasio chosha pamoja na maada mbali mbali pia na kuzichambua..
Namkubali sanaa Musa Hussein ama mwana DSM wa kipindi cha LEO TENA maana amekua mchambuzi asiye sHikiwa akili na mtu ni mtangazaji wa kuhoji ajali ni kiongozi serikalini au laa
Pia kipindi cha jahazi kuna jamaa ana bezi hivi na huyu Gadna hawa jamaa wanajua kutangaza wako vizuri mnooo kipindi chao unaweza ukawa unacheka tuu zile maada zao..
NAWAPONGEZA CLOUDS FM KWA UBUNIFU WENU HASWA KIPINDI HIKI CHA KUJIFUNGIA NDANI MMEKUA REDIO NUMBER MOJA KWANGU..
ni redio gani we unaona inavipindi vizuri isiyochosha haswa kwa sisi watu wazima..!!?
TUJILINDE NA CORONA
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipende kukili kwamba sikua msikilizaji wa redio kwa mda mrefu sanaa lakini hii Corona imenifanya nisikilize redio mda mwingi kwakua nabaki nyumbani nikijilinda na haya maambukizi....
Nimevutiwa sanaa na redio clouds FM haswa kipindi cha LEO TENA pamoja na JAHAZI.. hivi vipindi vimejaa watu wenye utaalamu wa kutangaza na wasio chosha pamoja na maada mbali mbali pia na kuzichambua..
Namkubali sanaa Musa Hussein ama mwana DSM wa kipindi cha LEO TENA maana amekua mchambuzi asiye sHikiwa akili na mtu ni mtangazaji wa kuhoji ajali ni kiongozi serikalini au laa
Pia kipindi cha jahazi kuna jamaa ana bezi hivi na huyu Gadna hawa jamaa wanajua kutangaza wako vizuri mnooo kipindi chao unaweza ukawa unacheka tuu zile maada zao..
NAWAPONGEZA CLOUDS FM KWA UBUNIFU WENU HASWA KIPINDI HIKI CHA KUJIFUNGIA NDANI MMEKUA REDIO NUMBER MOJA KWANGU..
ni redio gani we unaona inavipindi vizuri isiyochosha haswa kwa sisi watu wazima..!!?
TUJILINDE NA CORONA
Sent using Jamii Forums mobile app