CIA walimuua Bob Marley?

 
Je unajua kwanin kundi la Fugees lilikufa? Google out, you will be surprised. Dunia inaongozwa na makundi makubwa na yenye nguvu hivyo wakikuhitaji na ukakataa kujiunga lazima wakutoe kafara tu.. So sad!
 
Mkuu nakupa hii link ina lyric za baadhi ya nyimbo za bob, niambie nyimbo ipi amemsifu shetani, pia waweza taja nyingine ambayo haipo kwenye list. Wajulishe hata hao mashehe

Jah Lyrics: Artist - Bob Marley & The Wailers Lyrics
 
mkuu huyu Culture ni solo artist ambaye alifia stejini nchini ujerumani na hao hao jamaa walihusika ktk kifo chake! ananyimbo nyingi sana baadhi ni Jah alone a christian,money girl,one stone,pay day.
hivi culture amekufa ?
 
Mkuu asante kwa ku-share na sisi
 
BIBLIA YASEMA.
Usiwe Mtumwa Wa Mali Na Kupoteza Maisha Yako.
 
Nchi za kibepari ndo zao

Thomas Sankara a.k.a "AFRICAN CHE GUEVARA" mwaka 1984 kama rais wa Burkina Faso aliuliwa kinyama sana na Makamu wake ambaye alikuja kuwa Rais wa Burkina Faso mpaka miaka hii ya karibuni Blaise Compaore

Sankara aliuliwa kwa kuwa tu alikuwa na "FIKRA ZA NCHI YAKE KUWA SELF SUFFICIENT" na kuachana na kuwategemea wafaransa kwa kila kitu mpaka kuagiza sukari na vyakula

wafaransa na Huyo Bazazi compaore wakamuulia mbali maana waliona ni bonge la Threat kwa uchumi wao

wakamkatakata vipande na kumzika kusikojulikana mpaka mwaka jana ndo kaburi lake limekuja julikana

Blaise Compaore kakimbilia uhamishoni Cote' de Voire baada ya kutaka kubadiri katiba atawale milele wananchi wakaandamana nchi nzima akatoka nduki

Thomas Sankara alikufa akiwa kijana mdogo sana rika la miaka 30
 
Wafuatao ni wahanga wa mauaji yaliyofanywa na CIA
Bob Marley
JF Kennedy
Ernesto che Guevara
Patrice Lumumba
Hugo Chavez

Ongezea unaowajua wengine...
Tafuta muvi maarufu inaitwa "CHE"

ya mwaka 2008, wakisha kudedisha wanaigiza movie wanauza Hollywood

Che Guevara kama Thomas sankara wa Burkina Faso walikuwa ni watu wa Kueliminate haraka sana....
 
Unamtahadharisha Magu au unamtisha?
 
Kwenye maelezo yako yote sijaona ukitaja MAJANI„„„„kivipi?
Majani ni tiba ya cancer jiangalie aisee....raisi wa dunia obama mwenyewe kala jani itakua ww kimpapure...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…