Chura, shape, sura na kazi nzuri ya mkeo vimekusaidia nini katika maisha?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Moja ya matarajio yasiyo na uhalisia ktk maisha ya ndoa ni kuwaza kuwa "kwenye ndoa kuna Raha na furaha". Kamwe hili halipo.

Huwa wanaume wanahangaika kutafuta wanawake wenye mjumuiko (package) wa chura, shape, sura, rangi na kazi nzuri wakidhani vitu hivi vitaongeza raha na furaha ktk ndoa zao.

Wengi wameishia kupata msongo wa mawazo tu baada ya kugundua kuwa vyote hivi ni ubatili mtupu ktk ndoa. Wametumia nguvu na gharama kubwa kuvipata lkn having faida

1. Tako kubwa, shape, sura na rangi nzuri havileti ugali mezani.
2. Mshahara mkubwa wa mwanamke kutoka kwenye kazi yake nzuri hauonekani unapoenda. Hachangii chochote. Zaidi sana ataanza kuanzisha ujenzi ama biashara zake kwa siri.

Oa darasa la saba ambaye atatawalika, atakuwa msikivu, unaweza kumtuma, atalea watoto wako muda wote na utamtumia kukuza kipato. Haya mabeijiing, masuperwoman, manaharakati, mazungumza kiingereza ni mabishi, majuaji huwa hayazai, na yakizaa ni mtoto mmoja tu. Kwasabb yashatoa mimba sana hadi kufikia huko vyuoni.

Halafu wana wapenzi wengi mno, waliosoma nao ktk ngazi zote za elimu. Kuchapiwa ni nje nje. Hakuna mwanamke mbeijing asiyechapwa.


Nimemaliza!
 
Moja ya matarajio yasiyo na uhalisia ktk maisha ya ndoa ni kuwaza kuwa "kwenye ndoa kuna Raha na furaha". Kamwe hili halipo.

Huwa wanaume wanahangaika kutafuta wanawake wenye mjumuiko (package) wa chura, shape, sura, rangi na kazi nzuri wakidhani vitu hivi vitaongeza raha na furaha ktk ndoa zao.

Wengi wameishia kupata msongo wa mawazo tu baada ya kugundua kuwa vyote hivi ni ubatili mtupu ktk ndoa. Wametumia nguvu na gharama kubwa kuvipata lkn having faida

1. Tako kubwa, shape, sura na rangi nzuri havileti ugali mezani.
2. Mshahara mkubwa wa mwanamke kutoka kwenye kazi yake nzuri hauonekani unapoenda. Hachangii chochote. Zaidi sana ataanza kuanzisha ujenzi ama biashara zake kwa siri.

Oa darasa la saba ambaye atatawalika, atakuwa msikivu, unaweza kumtuma, atalea watoto wako muda wote na utamtumia kukuza kipato. Haya mabeijiing, masuperwoman, manaharakati, mazungumza kiingereza ni mabishi, majuaji huwa hayazai, na yakizaa ni mtoto mmoja tu. Kwasabb yashatoa mimba sana hadi kufikia huko vyuoni.

Halafu wana wapenzi wengi mno, waliosoma nao ktk ngazi zote za elimu. Kuchapiwa ni nje nje. Hakuna mwanamke mbeijing asiyechapwa.


Nimemaliza!
Fungu la kukosa
 
Moja ya matarajio yasiyo na uhalisia ktk maisha ya ndoa ni kuwaza kuwa "kwenye ndoa kuna Raha na furaha". Kamwe hili halipo.

Huwa wanaume wanahangaika kutafuta wanawake wenye mjumuiko (package) wa chura, shape, sura, rangi na kazi nzuri wakidhani vitu hivi vitaongeza raha na furaha ktk ndoa zao.

Wengi wameishia kupata msongo wa mawazo tu baada ya kugundua kuwa vyote hivi ni ubatili mtupu ktk ndoa. Wametumia nguvu na gharama kubwa kuvipata lkn having faida

1. Tako kubwa, shape, sura na rangi nzuri havileti ugali mezani.
2. Mshahara mkubwa wa mwanamke kutoka kwenye kazi yake nzuri hauonekani unapoenda. Hachangii chochote. Zaidi sana ataanza kuanzisha ujenzi ama biashara zake kwa siri.

Oa darasa la saba ambaye atatawalika, atakuwa msikivu, unaweza kumtuma, atalea watoto wako muda wote na utamtumia kukuza kipato. Haya mabeijiing, masuperwoman, manaharakati, mazungumza kiingereza ni mabishi, majuaji huwa hayazai, na yakizaa ni mtoto mmoja tu. Kwasabb yashatoa mimba sana hadi kufikia huko vyuoni.

Halafu wana wapenzi wengi mno, waliosoma nao ktk ngazi zote za elimu. Kuchapiwa ni nje nje. Hakuna mwanamke mbeijing asiyechapwa.


Nimemaliza!
BONGE LA SWALI
 
1. Chura, Sura vinaleta hamasa katika ngono.
2. Vinafurahisha kila mara ukimtazama Mkeo, hachoshi. Wewe kazi yako ni kumtunza tuu.
2. Akivaa nguo anapendeza na hiyo inakupa ufahari popote uendako na ukiwa naye. Iwe ni Kanisani, au matukio ya jumuiya Mkeo akiwa na Sura na shape nzuri Sifa zinakuja kwako kuwa pale mwamba umeweza.

3. Ukizaa Watoto hasa wakike unazaa Watoto walionyooka hasa wakifuata maumbile ya Mama Yao. Shape na Sura nzuri ni Mbegu nzuri Kwa kizazi chako hasa mabinti.
Faida itakuja pale Watoto wako hawatapata shida ndogondogo za kutafuta wachumba na watapata upendeleo Kwa baadhi ya mambo Kutokana na uzuri waliorithi Kwa mama Yao.

4. Ni sifa na ufahari kuwa na MKE mzuri.
Hata Ibrahim alipata hifadhi Kwa urahisi nchi za mbali Kwa Sababu ya uzuri WA Mkewe.
Ni rahisi ukiwa na MKE mzuri Kupata mkopo kupitia uzuri wake.
Mwanamke mzuri Maisha hayawe,I kumshinda.

5. Watoto watajivunia uzuri WA Mama Yao.

6. Kazi ya Mkeo itazidisha uimara wa familia. Hasa kama atakuwa anakupenda na unaakili za mwanaume.

7. Dunia yote Hii, nature inaagiza Watu waoe Wanawake Wazuri Sana. Nature ni rahisi kukusapoti kama utaweza kuoa mwanamke mzuri mwenye Sifa ulizozitaja.

Ni ndoto ya kila Mwanadamu kuoa mwanamke mwenye Sifa ulizozitaja hapo.
Mengine huja kama visingizio tuu.
 
Back
Top Bottom