Chukueni hii kwani ni ya Moto Moto bado na nimeipata kutoka ndani (jikoni) Kwao kabisa

Wananchi hawanaga uvumilivu.

Namshauri ajitoe mapema, akichelewa kuna siku watamuondoa kwa kumuwamba makofi. Picha ya kule Nigeria alivyopaniki hadi akavutwa pembeni, inahakisi uhalisia wa kitakachomkuta.
 
Kumbe Mightier ni Mkurya? Nilikuwa sijui Ndugu. Vipi huyu Jamaa unayedai ( unayesema ) ni Mkurya ndiyo anakukaza nini?
Wewe bado ushamba haujakutoka, wenzako wengi walio chunga ngo'mbe mbaka form four kama wewe ni wastaarabu ila tangu uweze kutumia mitandao ya kijamii unaonekana Limbukeni. Ila najua ukifikisha miaka kumi apa Town tabia zako zakishamba zitapungua.
 
Wewe bado ushamba haujakutoka, wenzako wengi walio chunga ngo'mbe mbaka form four kama wewe ni wastaarabu ila tangu uweze kutumia mitandao ya kijamii unaonekana Limbukeni. Ila najua ukifikisha miaka kumi apa Town tabia zako zakishamba zitapungua.
Chuki yako Kwangu ni kwakuwa nimeacha Kukukaza au? Kwani Wakazaji wengine huko Kwingineko si wako wengi tu na unaweza pia Ukawashobokea kama unavyonishobokea Mimi Kutwa ( 24/7 ) tu hapa JamiiForums?
 
Ndugu amini usiamini labda aombe Jumamosi iwe upande Wao ila kuna Wadau wangu wa Matawi ya Ubungo, Tandale na Tegeta wamepanga Kumfanyia Kitu mbaya kama Jumamosi itakuwa mbaya Kwao Temeke Stadium.
Na ile jumamosi ni ngumu kwa nilivyoona kule alikotoka wanavyoupiga mwingi ,zikipungua ni 3
 
Ukiwa na Marafiki ( Maswahiba ) wengi ndani ya Kambi ya Maadui zako wakubwa ni Raha sana.

Haya Taarifa iwafikie kuwa huko Baharini Kambini Kumeshakucha na kuna Mtu hatakiwi tena.

Baada ya kuona hatakiwi huku wengine Wakimsusa na hana kwa Kwenda sasa analazimisha Kukubalika na Oya Oya wengi.

Tayari Watu wa Matawi na baadhi ya Waandamizi wameonya asihusishwe katika Siri za Tukio la Jumamosi.

Baada ya Viongozi kuombwa waachane nae na Kukaidi sasa kuna Usaliti utafanywa ili Waumie Jumamosi wamtimue.

Na kinachofanya Jamaa awanyenyekee na ajipendekeze Kwao ni kwamba Ajira ya Mbagala aliyoiota ameshatoswa.

Kwa hivi sasa lawama zote za Kufanya vibaya anapewa MSG kwa Kuleta Nuksi kubwa iliyo na Laana ambayo inawamaliza.

Huenda Jumamosi Ajira ya Mtu ikafikia Kikomo huku akiwa Kaumuka kwa Kipigo kutoka kwa Watu ambao hawakumtaka.

Namalizia kuwa Kimeshanuka Baharini!!
Simba kazi mnayo,Mzimu wa Manara utawatesa sana mpaka mkome na mjute kumfahamu.Mtapata tabu sana mwaka huu
 
Wananchi hawanaga uvumilivu.

Namshauri ajitoe mapema, akichelewa kuna siku watamuondoa kwa kumuwamba makofi. Picha ya kule Nigeria alivyopaniki hadi akavutwa pembeni, inahakisi uhalisia wa kitakachomkuta.
Wivu unawasumbua,Mna chuki binafsi na Manara,Mzimu wake utawatesa sana mwaka huu mpaka mkome na mjute kumfahamu.Kila kukicha Manara,Manara,Manara hamchoki tu kumsema mme wa mtu mnamtakia nini nyie,wengi wenu mmejawa na wivu wa maisha kinawauma sana mnaona Manara katoboa kimaisha wewe kutoka kulipwa Posho Tsh. laki Saba mpaka kulipwa Tsh . Mil 9 na ushee.Ni hatari wengine lazima muweweseke na kujawa na wivu wa kike
 
Wanakufa ama 2 kwa 0 au 4 kwa 1 Ndugu.
Jiandae kisaikolojia .Yanga si ya kawaida unavyofikiria ina wachezaji wazuri kuliko wa Simba kwa kuthibitisha Hilo subiri jumamosi siyo mbali.Msimu uliopita tumekunyanyasa sana umejisahau kule kigoma ulianza kuchangamka baada ya kadi nyekundu kumbuka ulikuwa Yanga ile siyo hii ya wakina Djuma,Bangala,Aucho,Makambo,Mayele n.k .Narudia tena jiandae kisaikolojia kazi unayo na hivi umezoea kufungwa na Yanga Mara kwa Mara tegemea kupata kipigo kitakatifu.
 
Back
Top Bottom