jikoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MEGATRONE

    Ushauri kuhusu mbao nzuri za kujengea makabati ya jikoni ukutani

    Habari za humu? Nilikuwa naomba kujuzwa mbao gani ni nzuri kwa kujengea makabati ya ukitani na pia Jikoni. Natanguliza Shukurani
  2. Zekoddo

    Nyuki wamevamia jikoni kwangu

    Wakuu, hapa getho kwangu Kuna nyuki wamevamia toka majuzi,, wananifanya nisiishi kwa raha,, mama watoto wangu anashindwa kukaanga vizuri hapa kwa sababu ya hawa nyuki. Naomba mnipe dawa au namna ya kuwaondoa hawa nyuki. Kama Kuna dawa za kupulizia ili wasepe hapa jikoni kwangu nipeni maujuzi wadau
  3. malisak

    Kwani Siku Hizi Hatuli?, Mbona Paka Kalala Jikoni?

    Uzi wa mapishi umedoda jamani watu sijui tupo kwenye mifungo mikavu, rudini kundini tuanzae madigo diko mapya. Mtag mwana mapishi wako pendwa umualike arudi uzini tushee mapishi mapya na kukumbusha ya zamani pia. Kuna lishe za afya na za watoto pia ni vyema tunaukaza uzi wa mekoni.
  4. rubii

    Home tips

    Wakuu njooni, kuna mtu hapendi kuishi nyumba safi nzuri na salama? Nyumba ni nyumba hata iwe chumba cha kupanga. Binafsi huwa naandaa home tips zinazogusa nje na ndani ya nyumba, sittingroom, kitchen area, Washrooms/Maliwato, bedroom. Basi karibuni nitakuwa naziweka hapa pia kama unayo unaweza...
  5. rubii

    Furniture, home decors na vyombo vya jikoni

    Heshima zenu wakuu.😊 Habari za wakati huu Karibuni Dollrubii_Decors SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote nchini karibu ujione. KWA MAHITAJI YA ♦️FURNITURE ♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI ♦️PAZIA ♦️KITCHENWARE TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿 WHTAP|📞 0699306065 FREE DELIVERY DAR...
  6. M

    Kitu kiko Jikoni tayari kinapakuliwa wakati wowote hivyo tuwapigie Simu Waganga wetu wa Kienyeji watuokoe ili tusinyolewe mazima

    Huenda kuna Mtu ama Watanzania tukaenda nae pamoja Kuhamia nchini Burundi na Basi la Esther au tukajikita zaidi na Kilimo cha Mafuta ya Alizeti au Kufuga Kuku Mkoani Singida.
  7. Nyendo

    Vituko vya jikoni, ushawahi fanya kitu gani wakati unapika?

    Mko poa? Salaam, Jikoni kuna wakati yanatukia matukio jikoni wakati unapika mpaka unatamani unashangaa, mwenzenu nilimwaga mboga wakati napika ugenini kisa kapita panya na sikuwa najua kama nyumba ina panya. Nimeaza kupika ile naipuka mboga Panya kakatiza nikaona mkia tu nikadhani nyoka...
  8. DreezyD98

    Kijana aunguzwa kwa uji baada ya kodokoa maharage

    Kijana Elvis Shoo (27) mkazi wa kitongoji cha Bogini Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amelazwa katika kituo cha Afya Pasua akiuguza majeraha ya moto, yaliyotokana na kuunguzwa kwa uji na shangazi yake akidaiwa kuiba maharage jikoni. Tukio hilo ambalo linadaiwa kutokea Septemba 30 mwaka huu...
  9. FRANCIS DA DON

    Nyumba nyingi hutumia mlango wa jikoni kuingia ndani badala ya mlango wa sebuleni, ni uchawi au ni nini?

    Kuna nyumba nyingi sana nilizowahi kutembelea, unakuta unakaribishwa ndani kwa kupitia mlango wa jikoni, na ule wa sebuleni unakuta haujawahi kutumika tangu nyumba ijengwe. Hii husababishwa na nini, chanzo au lengo la tabia hii, ni nini?
  10. R

    Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

    Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo. Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki? Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii...
  11. pockert money

    Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

    Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika. Yaani...
  12. Sky Eclat

    Meza ya kulia chakula inapendeza jikoni au kwenye mgahawa

    Meza ya kulia jikoni inafaa kwa matumizi ya familia ya kila siku, kama nyumba ni kubwa main dining inaweza kutumika kama watu ni wengi au kuna special event.
  13. fareed uziel

    HILI OVEN UNALIHITAJI JIKONI KWAKO.

    Maoven yanaouzika sana Dsm sasa yamepungua bei Bei-155,000Tsh tu *Linatumia umeme kiduchu *Linaoka mikate,cake na choma kuku na vinginevyo *Pia unaweza ukapasha chakula chako *Lina ujazo wa 48L pia ni rahisi kulitumia Call/Whatsapp 0753038470 Tupo kkoo mtaa wa ndanda Nunua leo
  14. M

    Chukueni hii kwani ni ya Moto Moto bado na nimeipata kutoka ndani (jikoni) Kwao kabisa

    Ukiwa na Marafiki ( Maswahiba ) wengi ndani ya Kambi ya Maadui zako wakubwa ni Raha sana. Haya Taarifa iwafikie kuwa huko Baharini Kambini Kumeshakucha na kuna Mtu hatakiwi tena. Baada ya kuona hatakiwi huku wengine Wakimsusa na hana kwa Kwenda sasa analazimisha Kukubalika na Oya Oya wengi...
  15. kavulata

    Haji Manara msimfikishe jikoni Yanga, anaweza kurudi Simba kuunga mkono juhudi

    Adui yako namba moja ni mtu wako wa karibu. Haji alivyokuja Yanga ndiyo atakavyoondoka Yanga. Kama mnadhani Yanga mna siri nyeti ambazo ni mwiko kufahamika kwa Simba na public basi ziwekeni mbali nae kwanza. Vinginevyo lazima mumlee Haji kama yai, msimkorofishe hata siku moja, vinginevyo iko...
  16. Z

    Hanipakulii chakula anataka niende jikoni mwenyewe lakini shemeji yake anamjali

    Mke wangu kaanza tabia nikitoka kazini ananiambia nikajipakulie jikoni. Muda huo anamjali sana mdogo wangu wa kiume kiasi hata wakati mwingine anasema chakula kimeisha nikienda kumpa hi mdogo wangu nakuta msosi wa kutosha.
  17. Carlos The Jackal

    Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

    Umeamua kwa hiyari yako kuwa na mtu, unajua na yeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaa Ya nini haya sasa jamani? Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia hata mama yangu hajawahi kupika namna hii kumbe ni Dawa. Leo nililala kwake, yeye kaamuka...
  18. Nduka Original

    Kwanini kwenye nyumba zetu mlango ya jikoni ndiyo inatumika

    Nime experience hii nyumba zetu nyingi sana huwa milango ya jikoni ndiyo inatumika watu kuingilia. Ni nadra sana front doors ikatumika. Sababu ni nini?
  19. M

    INAUZWA Vifaa/vyombo mbalimbali vya cake na jikoni

    Habarini wakuu,ukurasa huu nitaweka bidhaa mbalimbali ninazoziuza sana sana za cake na vyombo vya jikoni. Mawasiliano yangu ni 0746685756 Nita update kila mara vinapoingia. Tunafanya delivery na mkoani tunatuma. Karibuni sana
Back
Top Bottom