Chukueni hii kwani ni ya Moto Moto bado na nimeipata kutoka ndani (jikoni) Kwao kabisa

Ukiwa na Marafiki ( Maswahiba ) wengi ndani ya Kambi ya Maadui zako wakubwa ni Raha sana.

Haya Taarifa iwafikie kuwa huko Baharini Kambini Kumeshakucha na kuna Mtu hatakiwi tena.

Baada ya kuona hatakiwi huku wengine Wakimsusa na hana kwa Kwenda sasa analazimisha Kukubalika na Oya Oya wengi.

Tayari Watu wa Matawi na baadhi ya Waandamizi wameonya asihusishwe katika Siri za Tukio la Jumamosi.

Baada ya Viongozi kuombwa waachane nae na Kukaidi sasa kuna Usaliti utafanywa ili Waumie Jumamosi wamtimue.

Na kinachofanya Jamaa awanyenyekee na ajipendekeze Kwao ni kwamba Ajira ya Mbagala aliyoiota ameshatoswa.

Kwa hivi sasa lawama zote za Kufanya vibaya anapewa MSG kwa Kuleta Nuksi kubwa iliyo na Laana ambayo inawamaliza.

Huenda Jumamosi Ajira ya Mtu ikafikia Kikomo huku akiwa Kaumuka kwa Kipigo kutoka kwa Watu ambao hawakumtaka.

Namalizia kuwa Kimeshanuka Baharini!!
Nimemsikia Mzee Juma Magoma wa Yanga anahojiwa na Kitenge,msukule hautakiwi na wenye Yanga yao,ni suala la muda tu watamnywa supu huyu nyamambichi.
 
Nimemsikia Mzee Juma Magoma wa Yanga anahojiwa na Kitenge,msukule hautakiwi na wenye Yanga yao,ni suala la muda tu watamnywa supu huyu nyamambichi.
Kitenge alikuwa anajitahidi sana kumkatisha Mzee asiongee Povu lake, pamoja na Kitenge kuongea mikelele ili Mzee asisikike ila Mzee aliendelea kutema nyongo.

Leo nimeamini hawa waandishi wanatumika ili kulinda maslahi ya Yanga.
 
Namshauri kwa usalama wake asije uwanjani Jumamosi kwenye mechi ya ufunguzi wa Ligi.

Hawatamwacha salama.

Kama alivyosema mwenyewe watamuwamba mikofi pa pa pa
Na anajua sana jazba ya wanayangafrika.
 
Kitenge alikuwa anajitahidi sana kumkatisha Mzee asiongee Povu lake, pamoja na Kitenge kuongea mikelele ili Mzee asisikike ila Mzee aliendelea kutema nyongo.

Leo nimeamini hawa waandishi wanatumika ili kulinda maslahi ya Yanga.
Kitenge alitumia nguvu kubwa Mzee asipasue buyu lakini naye dingi kakomaa, Haji Manara ni kirusi. Hamkani si shwari tena msukule lazima upigwe ban
 
Back
Top Bottom