Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

Inasikitisha sana!...na hasa ukisoma comment za hawa wachangiaji wanaomjua huyu jamaa in deep. Anyway yote ni maisha.
 
Nimeisoma hii habari katika gazeti ikanisikitisha sana....Naungana na mama yake kuendelea kusitika. ...

Yah, namfahamu huyu jamaa na mamaake! Siyo shoga. Tulinunua sehemu ya eneo lao Segerea. Kwa sasa wameuza eneo lote. So sad!
 
Kama wana mkosi flan kwenye ikoo wao. Mshkaji anasikitisha!..Hata yule eliud pemba aliyekuw bench mark producton sijui yuko wapi. Jack pemba nae ndio hivyo, nakumbuka alijifanya anataka kuoa akakusanya pesa na kutokomea south africa na baadae uk. Jack kama angatulia angewaokoa hao ndugu zake waliopoteza mwelekeo lkn naye mambo mengi kaharibu.mvano kama kakimbilia malawi basi ni kama karudi kwao maana inasemekana wana asili ya huko
 
..jamaa ni ndugu na Jack Pemba, anashnda pale Segerea mwisho ni educated na kuna kpnd anafundisha watoto tuition ya kingereza ila tatizo akir hazko sawa sababu ya poda na ndo kisa cha kufukuzwa urusi. alivokuja Tz mkewe (mzungu) alimfata na baada ya mda mkewe alifarik na nduguze walikataa kufata mcba coz walishamuonya kuhusu kuja Afrca ila marehem hakuckia ivo jamaa akaamua kumzka mkewe nyumban kwake uan palepale segerea. cku akimkumbuka mkewe uwa anashnda juu ya kabur cku nzima...

Aisee...
 
Huyu jamaa alikua ananikela sana ila kutokana na haya nloyasoma ntamwombea kwa mungu..da afu kumbe kale kachalii ni katoto kake..?a very handsome boy....
 
..jamaa ni ndugu na Jack Pemba, anashnda pale Segerea mwisho ni educated na kuna kpnd anafundisha watoto tuition ya kingereza ila tatizo akir hazko sawa sababu ya poda na ndo kisa cha kufukuzwa urusi. alivokuja Tz mkewe (mzungu) alimfata na baada ya mda mkewe alifarik na nduguze walikataa kufata mcba coz walishamuonya kuhusu kuja Afrca ila marehem hakuckia ivo jamaa akaamua kumzka mkewe nyumban kwake uan palepale segerea. cku akimkumbuka mkewe uwa anashnda juu ya kabur cku nzima...

inasikitisha sana aisee
 
Mmmh....mwanae wa kike karudi Tz??
Maana aliondoka mara tu baada ya msiba wa mamaake kama miaka sasa.
Aliepo hapa ni wa kiume half-cast anaitwa Jack.

ya ni wa kiume,very sweet~boy
 
Sidhani kama ni lazima.
Tu mnisaidie kunaaani urusi?

Kama siyo lazima kutaja basi sijui nikusaidieje.
Unauliza kunani Urusi kwa muktadha upi kama umeshindwa kuweka proof ya kile unachokiulizia...?
 
huyu jamaa kama nilishawah muona segerea stand vile!
 
Kama siyo lazima kutaja basi sijui nikusaidieje.
Unauliza kunani Urusi kwa muktadha upi kama umeshindwa kuweka Evidence ya kile unachokiulizia...?
Sio kesi mkuu!
Pita hiviiiiiiiiii
Halafu kunja kushoto,endelea na safari!
 
Back
Top Bottom