Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

Nimeisoma hii habari katika gazeti ikanisikitisha sana....Naungana na mama yake kuendelea kusitika. ...
 
mimi namfahamu fika huyu Chuche-tatizo ni haya magazeti ya bongo-huyu mtu amedata siku nyingi- tatizo hilo gazette halikuandika kuwa huyu ni mgonjwa matokeo yake watu wana jump to wrong conclusions
 
huche Pemba namfahamu kitambo.
Ni kaka wa Jack Pemba, Martin, Mvano na ndugu zao wengine.

Chuche sio shoga ila kidogo hayuko timamu.
Alikua ma mke ambao alitoka nae Urusi alikoenda kusoma.
Mkewe alifariki kwa Cancer, sikumbuki mwaka....kama 2004 hivi.
Alizaa nae watoto wawili.
Mkubwa wa kike alichukuliwa akarudi Urusi alikozaliwa. Mdogo yupo hapa.
Mdogo anaitwa Jackie.
Ila huyu mdogo kakulia stand kwenye kijiwe cha babaake.
Sijamuona muda kidogo.
Chuche hana ushoga kabisa
 
huche Pemba namfahamu kitambo.
Ni kaka wa Jack Pemba, Martin, Mvano na ndugu zao wengine.

Chuche sio shoga ila kidogo hayuko timamu.
Alikua ma mke ambao alitoka nae Urusi alikoenda kusoma.
Mkewe alifariki kwa Cancer, sikumbuki mwaka....kama 2004 hivi.
Alizaa nae watoto wawili.
Mkubwa wa kike alichukuliwa akarudi Urusi alikozaliwa. Mdogo yupo hapa.
Mdogo anaitwa Jackie.
Ila huyu mdogo kakulia stand kwenye kijiwe cha babaake.
Sijamuona muda kidogo.
Chuche hana ushoga kabisa

Huyo mvano huyo mtata sana alikua anasumbua sana mitaa ya upanga kwa usela. Wana ndugu yao eliud pemba pia sijui yuko wapi siku hizi...kwao hawana kashfa hiyo ya ushoga labda kadata na mambo mengine tuu huyo ndugu yao
 
Aya weeee, Chuche baunsa wangu mzee wa Ukraine?

Familia inapata bad publicity, kuanzia Jack na scandals zake now this?

Nilikuwa nasema nikirudi bongo ma alwatan wa zamani wa Upanga kama kina Chuche watakuwa wamepasuka vipi sasa?

Mke wake Mrussi alisharudi kwao?
 
uchoko hauna siri kama angekua kweli tungejua tu japo hata tetesi juu ya bahasha wake......
 
mimi namfahamu fika huyu Chuche-tatizo ni haya magazeti ya bongo-huyu mtu amedata siku nyingi- tatizo hilo gazette halikuandika kuwa huyu ni mgonjwa matokeo yake watu wana jump to wrong conclusions

Chuche Upanga long time. Tangu breakdancing with Tas na Ommy na Musa, enzi za "Electric Boogaloo".

Mpaka kwenda Ukraine kusoma, kurudi.

Katika ma body builders wa siku nyingi walioheshimika Upanga na Dar Chuche yumo, alikipiga chuma kikamkubali.

Alipata matatizo gani tena?
 
huche Pemba namfahamu kitambo.
Ni kaka wa Jack Pemba, Martin, Mvano na ndugu zao wengine.

Chuche sio shoga ila kidogo hayuko timamu.
Alikua ma mke ambao alitoka nae Urusi alikoenda kusoma.
Mkewe alifariki kwa Cancer, sikumbuki mwaka....kama 2004 hivi.
Alizaa nae watoto wawili.
Mkubwa wa kike alichukuliwa akarudi Urusi alikozaliwa. Mdogo yupo hapa.
Mdogo anaitwa Jackie.
Ila huyu mdogo kakulia stand kwenye kijiwe cha babaake.
Sijamuona muda kidogo.
Chuche hana ushoga kabisa

Na dada yao Flora.
 
Chuche tunapoa nae mtaa.ni ndugu WA damu WA Jack Pemba.alisoma urusi na aliganikiwa kuoa mzungu ambae walizaa nae watoto 2.bahati mbaya yule mzungu akafariki.Chuche ni mgonjwa WA akili na imasemekana ugonjwa wake umechangiwa na utumiaji WA madawa ya kulevya.kwa miaka yote niliyomjua chuche cjawahi kuckia akijihusisha na mapenzi ya jinsia moja.ila ni kweli kwamba huwa anapenda kuvaa mavazi ya kike .
 
Huyo mvano huyo mtata sana alikua anasumbua sana mitaa ya upanga kwa usela. Wana ndugu yao eliud pemba pia sijui yuko wapi siku hizi...kwao hawana kashfa hiyo ya ushoga labda kadata na mambo mengine tuu huyo ndugu yao

Lol....Mvano alijikuta analihama jiji la Dar bila kupenda.
Alikimbilia Mbeya au Malawi.
Kujitia ununda.
 
Back
Top Bottom