Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,154
Na muda unavoenda, wanaume tutakuwa tunawasaka kwa darubini....
Duh....wengi wamechakachuliwa
Na muda unavoenda, wanaume tutakuwa tunawasaka kwa darubini....
Ndo hivo....Duh....wengi wamechakachuliwa
Duh....wengi wamechakachuliwa
afu jamaa kachua diploma urus ya ubunifu wa majengo
sijui nilisikia vibayaa?? au nasikia wanaitwa maubwabwa
Aya weeee, Chuche baunsa wangu mzee wa Ukraine?
Familia inapata bad publicity, kuanzia Jack na scandals zake now this?
Nilikuwa nasema nikirudi bongo ma alwatan wa zamani wa Upanga kama kina Chuche watakuwa wamepasuka vipi sasa?
Mke wake Mrussi alisharudi kwao?
Chuche was fine,untill alivyokwenda ksoma nje- akiwa nje naona alijihusisha na madawa ya ulevi- sidhani hata kama shule alimaliza- he came back a mental wreck-and when the wife died of cancer-he completely flippedChuche Upanga long time. Tangu breakdancing with Tas na Ommy na Musa, enzi za "Electric Boogaloo".
Katika ma body builders wa siku nyingi walioheshimika Upanga na Dar Chuch,e yumo, alikipiga chuma kikamkubali.
Alipata matatizo gani tena?
kwa hiyo unataka kusemaje sasa mkuu? jina jina tu...
Inawezekana pia kuna mzazi alimkosha sanaa au ana kapepo ka kike. Tumeona mpaka watoto wa kiume wanakojoa wamekaa kwa sababu nyumba nzima imejaa wanawake watupu na kukojoa kwao ndo huko. Single parents kuweni makini. Wapelekeni watoto wa ndugu wengine wachangamane.
Kama ww unavyohusika
yawezekana. nakujua.anyway tubaki na haya majina yetu.usemayo ni kweli kabisa.chuche sijui kakumbwa na nini?,Jana tumetumiana SMS familia yetu tusome gazeti la mwananchi hakuna aliyeamini! baunsa wetu wa upanga yamemkuta yepi? Mimi nilisoma na mdogo wake flora.kweli dunia ina mengi hii!
Alifungwa Russia alirudi bila vyeti,sijui kilimpata nini?Eliud Pemba mara ya mwisho alikua anafanya kazi ITVChuche was fine,untill alivyokwenda ksoma nje- akiwa nje naona alijihusisha na madawa ya ulevi- sidhani hata kama shule alimaliza- he came back a mental wreck-and when the wife died of cancer-he completely flipped
Ukweli ni kwamba Chuche sio Shoga bali amechanganyikiwa kwa madawa ya kulevya pamoja na stress za kufariki kwa mkewe. Ni kweli kabisa kua jamaa alikua ni baunsa na kijana mtanashati sana ila inaonekana kua mkewe ndia alikua kila kitu kwake hivyo alipofariki jamaa akawa amedata kiasi cha kutaka kumuuza mtoto wake wa kiume hali iliyosababisha mtoto wake wa kike arudishwe Rusia na huyo wa kiume kuwa chini ya kaka yake Eliudi Pemba. Maskani yake kwasasa ni stend mwisho- segerea ambapo huwa anapiga debe.
Wapo wengi hao, hamjamuona diamond jana?
Inawezekana nawe nakufahamu
Mimi nilikaa mtaa wa Kibasila karibu na Mfaume