Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

QALLI MIZOH

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2014
Posts
2,075
Reaction score
699
attachment.php


Yupo pande za Segerea { siyo gerezan ndani}, vivazi vyake.mambo yake na maisha yake full uanamke.. jamaa na baadhi ya ndugu zake wanasema ingawa anavaa kama mwanamke kuanzia mavazi,urembo nk lakini eti ajihusishi na mapenzi ya jinsia moja{ushoga}.

ANGALIZO;

Majirani watazameni na kuwatunza watoto wenu wa kiume kwa umakini
wasije ku adopt mambo haya.

Chanzo: MWANANCHI
 

Attachments

  • chuche.jpg
    chuche.jpg
    22.3 KB · Views: 3,085
yupo pande za segerea { siyo gerezan ndani}, vivazi vyake.mambo yake na maisha yake full uanamke.. jamaa na baadhi ya ndugu zake wanasema ingawa anavaa kama mwanamke kuanzia mavazi,urembo nk lakini eti ajihusishi na mapenzi ya jinsia moja{ushoga}..
ANGALIZO;
majirani watazameni na kuwatunza watoto wenu wa kiume kwa umakini
wasije ku adopt mambo haya.
chanzo. MWANANCHI
View attachment 155516

teamMACHOKO kuna some encouragement hapa
 
Hah!!!
Mungu atunusuru na vizazi vyetu!
 
afu jamaa kachua diploma urus ya ubunifu wa majengo
 
Huyu jamaa alisoma jitegemee na alipiga one ya nguvu miaka hiyo alienda urus akarud na mke na ana watoto wawil na mzungu alifariki sio chakla
 
huyu mshikaji kapiga xkul Russia! alikuwa na demu mzungu pamoja na watoto unfortunately demu wake alishafariki... ila ana msuli stand ya segerea wanamuelewa hizo habari za kishoga jamaa hana kabisa huwezi amini..
 
'huyu jamaa huwa namuona mara kwa mara nikiwa naenda studio ya B-REC kwa CHIZAN BRAIN ni kweli huyu jamaa yupo wakuu na mpaka shanga anavaa wakuu sjawahi kumuona amevaa kiume kwa kweli halaf kila nikitaka kuwauliza wazawa wa pande hizo kuwa alirogwa au laa huwa napuuzia na kupotezea tu acha kesho nipate info zake na uzuri kuna thread ntaichokoza kwa style hiyo asee kama naionyesha hivi najua watafunguka tu ila huwa namuangalia jamaaa kiukweli simmalizi na najiulizaga maswali mengi sana lakini spati jibu kabisa ntarudi na info wakuu haya maisha wadau,MUNGU NDO ANAJUA ASEE'
 
Back
Top Bottom