Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

hivi Boflo yupo wapi siku hizi?Boflo akija ataichukua hii picha ya jamaa na kufanya avatar yake,wataalamu wa ku-cc hebu m-cc-ini Boflo aje pande hizi
 
Huyu anatamani kuwa trans-gender kwani wengi wao wanaanzaga hivi hivi, mara leo atavaa chupi ya dada yake, kesho gagulo then huyoooooo njiani kusimikwa jina kamili Aunt Chuche.
 
Huyu atakua wa mwisho kuzaliwa alafu wote ktk familia ni wanawake kasoro yeye so ana copy kutoka kwa dada zake. Mazingira yalishafanya awe hvyo
 
aisee sijuj kwa nini aisee

yaani unakuta mwanaume kajengeka vyema lakini ni chakul

Watu wa aina hii unawakuta sana nchi zilizoendelea siyo bongo.Na sababu ni kwamba wale wako zaidi kibiashara na kumpromoti huyu Ibilisi wa Upufi na si vinginevyo. Na hao wenye six paki siyo wengi ndiyo maana wanajaribu kwa nguvu zote kujipromoti na kuna watu wenye nguvu sana ya pesa wako nyuma yao.Wale wenye six pac unakuta jamaa ana mavidonge aina kama tano tofauti na anayanywa wakati haumwi chochote. Na hii ni kila siku siyo kazi ndogo ati... lakini jamaa wanakomaa hivyo hivyo.

Pia wengi ya hawa watu siku hizi katika nchi zilizoendelea wamejiingiza katika biashara ya kuwa ma Personal Trainers kwa hiyo muda mwingi wanakua wanafanya mazoezi gym for free pale wanapofanya kazi.

Ila kwa wanaofahamu mwisho wa hawa jamaa ni mbaya sana hasa wakifika early 40 na kuendelea.

Pia huyu jamaa nadhani yuko okay kama wachangiaji wengi walivyosema.
 
Huyu atakua wa mwisho kuzaliwa alafu wote ktk familia ni wanawake kasoro yeye so ana copy kutoka kwa dada zake. Mazingira yalishafanya awe hvyo

yeah mazingira yanaweza kumfanya mtu awe vile alivyo
 
Mtoto wa mzee Cuthbert. Wana asili ya Kagera. Nadhani mama yao ni mhaya wa kwetu.
Urusi kuna shida. Hata mimi mzee wangu ni balaaa akili iliyumba na kuwa mtu wa ajabu kama sio sadist.
 
Back
Top Bottom