Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 856
Wapo wengi hao, hamjamuona diamond jana?
Mwingine mwaka jana nilimwona Kinondoni makaburini, yeye hujaza matambala kwenye suruali ili awe na mahipsi, kama amedata ila msafi
Wapo wengi hao, hamjamuona diamond jana?
kifo cha amos kilisikitisha sana-ni kikasababisha kaka mtu nae apate heart attack-misiba miwili at a goDah,
Watoto wa Upanga wengine wameishia pabaya.
Mtu kama Chuche hawa ndio walitakiwa kuwa ma Arnold Schwarzenegger wetu bongo, mtu akili anazo, mjini ana connections, anaishia kupiga debe.
Kuna mwingine Amos wa Silver Oak alifariki yeye na kaka yake, naye aliishia kwenye madawa ya kulevya na kupiga debe.
kibasila ipi? kwa juu au jeshini??Inawezekana nawe nakufahamu
Mimi nilikaa mtaa wa Kibasila karibu na Mfaume
kifo cha amos kilisikitisha sana-ni kikasababisha kaka mtu nae apate heart attack-misiba miwili at a go
huyo namfahamu fika,mara nyingi anakuwaga rosehill pub...hakuwa hivyo mwanzoni hata sijui nini kilimpata akabadilika,ana kitoto cha kike kizuri balaa wanadai alizaa na mzungu.
Wapo wengi hao, hamjamuona diamond jana?
Lol....Mvano alijikuta analihama jiji la Dar bila kupenda.
Alikimbilia Mbeya au Malawi.
Kujitia ununda.
life is a serious adventure
life is a serious adventure
generation ya akina amos upanga wengi walitokomea katika mdude na ukawaondoa,walio survive wanatia huruma hata ukikutana nao unalengwa na machozi-aliyesema hujafa hujaumbika was spot onNoma,
Nilivyokuja kuambiwa nilisikitika sana.
Nikamkumbuka Amos yule wa zamani aliyekuwa soap soap kabla ya kuanza mdude na kupiga debe Muhimbili.
generation ya akina amos upanga wengi walitokomea katika mdude na ukawaondoa,walio survive wanatia huruma hata ukikutana nao unalengwa na machozi-aliyesema hujafa hujaumbika was spot on
Lol....Mvano alijikuta analihama jiji la Dar bila kupenda.
Alikimbilia Mbeya au Malawi.
Kujitia ununda.
ana tight yake flani hivi fupi nyeusi anaivaaga mara kwa mara...na wanja wake anauchora balaa...
So sad mwanaume kupaka wanja..kutinda nyusi na shedo? ni zaidi ya msiba huu
Mungu anusuru vizaz vyetu
..jamaa ni ndugu na Jack Pemba, anashnda pale Segerea mwisho ni educated na kuna kpnd anafundisha watoto tuition ya kingereza ila tatizo akir hazko sawa sababu ya poda na ndo kisa cha kufukuzwa urusi. alivokuja Tz mkewe (mzungu) alimfata na baada ya mda mkewe alifarik na nduguze walikataa kufata mcba coz walishamuonya kuhusu kuja Afrca ila marehem hakuckia ivo jamaa akaamua kumzka mkewe nyumban kwake uan palepale segerea. cku akimkumbuka mkewe uwa anashnda juu ya kabur cku nzima...
huyo namfahamu fika,mara nyingi anakuwaga rosehill pub...hakuwa hivyo mwanzoni hata sijui nini kilimpata akabadilika,ana kitoto cha kike kizuri balaa wanadai alizaa na mzungu.