Songoro aliiupata umeya kwa rushwa ya million 1 kwa kila mjumbe anapambana kurejesha gharama zake.
Sent from my HRY-LX1T using JamiiForums mobile app
Huyo Meya amekalia kuti kavu kwani mambo yake yanajulikana na ndio maana hata ccm wamempa kalipio kali mbele ya hadhara!!!!