Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,403
Ndiyo, hasa wakidhurumianaWezi hupigana hadharani?
Ndiyo, hasa wakidhurumianaWezi hupigana hadharani?
Wezi hupigana hadharani?
Mwizi wa kura anapotaka kumdhibiti mpigaji wa fedha za umaKatibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema kumeibuka tabia ya baadhi ya madiwani na watendaji wa CCM kupigana ngumi hadharani kwenye mikutano.
Chongolo ametoa onyo kwa wenye tabia hiyo kuacha na kujiheshimu kwani chama hakitawavumilia.
Source: ITV habari
Huyo mama siyo mchaga wewe.Kama ni mama Liani wapigaji wa mlungula kknondoni wana Kazi. Wamuulize alikopita kote ni ngangali. Bahi mbunge alikamatishwa rushwa na yeye . Huyo mama hatishiki. Ni mmoja wa wachagga waadilifu
Fitna fitinani.siku zaenda Kasi Sana.Wabunge na madiwani wote hawakutokana na wananchi..unadhani wataacha kugombania maslahi yao.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma Sana.Mwizi wa kura anapotaka kumdhibiti mpigaji wa fedha za uma
Huyu Mama Zipora Liana hats Jiwe alikuwa anamkubali sana NASA kwa misimamo take ya kutetea wanyonge na kupinga rushwa. Nahisi sasa hivi 'hatakiwi'!Kama ni mama Liani wapigaji wa mlungula kknondoni wana Kazi. Wamuulize alikopita kote ni ngangali. Bahi mbunge alikamatishwa rushwa na yeye . Huyo mama hatishiki. Ni mmoja wa wachagga waadilifu
Tupingane Bila kupigana.kwanza wanapigana ngumi za kike kike. wachapane wapanga kama kweli wao ni wanaume.
Wapigane tuu,maana hakuna namna Tena.Hao ni WEZI walipita bila kupingwa
Mkuu kuna mengi hujui.Madiwani na Meya wa wilaya ya Kinondoni alikotokea yeye Chongolo ni wala rushwa wakubwa hivyo hawawezi kuendana na mama Liana ambale record yake ya utendaji ni ya kutukuka!! Akiwathibiti mambo yao ya wizi,Meya anajaribu kumtisha bila kufahamu kuwa huyo mama alishapambana na mafisadi papa huko alikopitia na akawatoa kamasi!!!
Eeeh hasa wakidhurumiana hilo mbona liko wazi na hawachelewi kudhurumiana kwani dhurma ni kawaida yao.Wezi hupigana hadharani?
Ni kweli kabisa walitokana na Chadema, kwa hiyo wanatakiwa wasubiri amri halali ya Mbowe.Wabunge na madiwani wote hawakutokana na wananchi..unadhani wataacha kugombania maslahi yao.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mama Liani wapigaji wa mlungula kknondoni wana Kazi. Wamuulize alikopita kote ni ngangali. Bahi mbunge alikamatishwa rushwa na yeye . Huyo mama hatishiki. Ni mmoja wa wachagga waadilifu
Mkuu kuna mengi hujui.
Umdhaniye ndiye utashangaa.
Skadali zake toka Ilala zinajulikana.
SIPORA ANA MIEZI MIWILI TU KINONDONI, SONGORO MNYONGE NI MWIZI ALIEKUBUHU AMEKUWA DIWANI TANGU ENZI WA KINA LONDA SI CHINI YA MIAKA 20 +
Sent from my HRY-LX1T using JamiiForums mobile app
Songoro aliiupata umeya kwa rushwa ya million 1 kwa kila mjumbe anapambana kurejesha gharama zake.Na hao wote wanajulikana kwa kuhusika na rushwa na kufanya biashara za madawa ya kulevya!!! Songolo sasa hivi ataumbuka kwani asifikiri vyombo vya dola havijui nyendo zake!!!