Poch ni tofauti na wale wapumbavu wawili G.potter na lampardPOCHE Msimu ujayo yupo aisee.
Wiki iliyopita kama sio wiki hii mwanzoni niliona page ya Skysport ya Instagram wamepost jamaa limempigia goti mwanaume mwenzake lina propose na jamaa linalovishwa pete eti linaficha sura kama wanawake. Hayo yalikua yanafanyika kwenye stadium kubwa na wote ni wachezaji wa hiyo timu nafikiri.Kikubwa nilichogundua ajenda kuu ya soka la Ulaya ni kupromote Ushoga na Usagaji, ni vile niko addicted tu na burudani ya soka.
Ila hawa wazungu malengo yao makuu kwenye hizi burudani ni kumpigia deki Mpinga Kristo barabara zote ili aje kupita kwa nafasi akiwa na wafuasi wakutosha.
Nachoona Matajiri watamsajilia wachezaji kadhaa anaowataka na watampa msimu mwingine.Ila wadau kutubali tu tuna kocha kilaza grade A, uwezo wa kosoma mchezo ni zero kufanya sub ndio below zero. Sterling anafanya utoto na kocha hana maamuzi
Kabisa mkuuSTERLING auzwe mwisho wa Msimu, hastaili kuendelea kuvaa jezi yetu.
Kuna wakati nataman niache kabisa kufatilia michezoWiki iliyopita kama sio wiki hii mwanzoni niliona page ya Skysport ya Instagram wamepost jamaa limempigia goti mwanaume mwenzake lina propose na jamaa linalovishwa pete eti linaficha sura kama wanawake. Hayo yalikua yanafanyika kwenye stadium kubwa na wote ni wachezaji wa hiyo timu nafikiri.
SidhaniPOCHE Msimu ujayo yupo aisee. Hilo halikwepeki.
Tupo Hapa chief save hiyo comment yangu. Poche ataendelea kuwa THE BLUES 2024/2025.Sidhani
Siyo soka tu ndugu yangu. Bali kila sekta ya burudani. Hukosi haya mambo kwenye movies na series zao. Hata kwenye shule zao, mpaka siasa zao...Kikubwa nilichogundua ajenda kuu ya soka la Ulaya ni kupromote Ushoga na Usagaji, ni vile niko addicted tu na burudani ya soka.
Ila hawa wazungu malengo yao makuu kwenye hizi burudani ni kumpigia deki Mpinga Kristo barabara zote ili aje kupita kwa nafasi akiwa na wafuasi wakutosha.
Unaweza kuwa na hoja ila nadhan kuna sehem unadanganya esp hapo sababu inayomfanya Emma Hayes aondoke sio hiyo.Kocha wa timu ya wanawake ya Chelsea Emma Hayes, ambaye atahamia USA national team, ameweka wazi kinacho sababisha Chelsea kufanya vibaya. Kwamba wachezaji wana geuzana wenyewe kwa wenyewe (intrasquad relationships). Kwa mfano WSL: Jess Carter anafanyana (bonking) na Ann-Katrin Berger na Sam Kerr anamgonga Kristie Mewis. Wanaume majina naya hifadhi.
Madhara makubwa yanakuja pale mmoja kati ya hao wapenzi anapokuwa kwenye hatua za mwisho kukamilisha mkataba wake na mwingine mkataba wake ungali bado. Matokeo yake, anayekaribia kuondoka ku- influence ambaye bado ili waondoke wote
Hawa washenzi kila mahali wanaweka watu wao. Mimi ni mdau mkubwa wa movies aidha series au singles ila nikaamza kukutana na haya mambo mpaka sasa nimebaki kuchagua movies kwa sababu kuna minjemba haiwezi kukubali ufirauni kama Denzel Washington, Jason Statham, Liam Smith n.kKuna wakati nataman niache kabisa kufatilia michezo
Hawez kubakiTupo Hapa chief save hiyo comment yangu. Poche ataendelea kuwa THE BLUES 2024/2025.
Tungekuwa na kocha mzuri tusingekuwa hapa tulipo,Chelsea ya msimu uliopita yaan 2022-2023 na ya msimu huu unaoendelea mnyonge mnyongen ila pongez zake mpeni poch amefanya mabadiliko makubwa hasa ktk eneo la kupasia kamba nyavuni.
Atleast naona huku kwenye mpira wa wanaume haijawa kivile kama mpira wa wanawakeHawa washenzi kila mahali wanaweka watu wao. Mimi ni mdau mkubwa wa movies aidha series au singles ila nikaamza kukutana na haya mambo mpaka sasa nimebaki kuchagua movies kwa sababu kuna minjemba haiwezi kukubali ufirauni kama Denzel Washington, Jason Statham, Liam Smith n.k
Ila sasa wanakuja kwenye mpira kwa kasi nashindwq kuelewa huko mbele itakuaje hasa haya mambo yakishafika Africa kwa kufanyika hadharani hasa kwenye michezo
Mdau,,,poch amepewa team mpya kalibia first eleven nzma ni maingizo mapya sasa unamlaumu katika angle ganTungekuwa na kocha mzuri tusingekuwa hapa tulipo,
AlaaaaahNimeona bendera kubwa zenye rangi ya upinde zinapeperushwa uwanjani.
Ndio maana wachezaji wetu majeruhi hawaponi, tunalaumu madocta bure kumbe ndani yake kuna ushoga, ushoga na majeruhi haviendani kabisa.
Angle ya maamuzi, kimbinu,favouritism etcMdau,,,poch amepewa team mpya kalibia first eleven nzma ni maingizo mapya sasa unamlaumu katika angle gan