juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Atleast naona huku kwenye mpira wa wanaume haijawa kivile kama mpira wa wanawakeHawa washenzi kila mahali wanaweka watu wao. Mimi ni mdau mkubwa wa movies aidha series au singles ila nikaamza kukutana na haya mambo mpaka sasa nimebaki kuchagua movies kwa sababu kuna minjemba haiwezi kukubali ufirauni kama Denzel Washington, Jason Statham, Liam Smith n.k
Ila sasa wanakuja kwenye mpira kwa kasi nashindwq kuelewa huko mbele itakuaje hasa haya mambo yakishafika Africa kwa kufanyika hadharani hasa kwenye michezo
Maana mpira wa wanawake mpaka wachezaji wanaenda public kabisa wanajitangaza.
Yani saiv hivi vitu ni kiwa makini sqna na watoto wetu