Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Cucurella goal fa cup against Leicester City

 
Unfortunately, mapenzi ya jinsia moja yamejaa sana kwenye soka la wanawake. Hata sisi Arsenal tuna shida hiyo. Vivienne Miedema alikuja Arsenal kutoka Bayern Munich kwa sababu demu wake alitangulia kuja, akamfuata. Baadae demu wake akaondoka Viv akachukuana na Lisa Evans. Lisa akaondoka, Viv sasa amechukuana na Beth Mead.

Man United women walipitia hayo pia walipowaleta Tobin Heath na Christen Press. Sijui story yao iliishaje ila Tobin alihamia Arsenal.
Hivi vitu mnavyozungumza vimeniacha mdomo wazi kama vile ni normal issue but nimazito
 
Hivi vitu mnavyozungumza vimeniacha mdomo wazi kama vile ni normal issue but nimazito
Kwenye soka la wanawake ulaya, cha kushangaza zaidi ni kukuta demu ana mahusiano na mwanaume. Ila demu kwa demu ndiyo hali ya kawaida iliyozoeleka 😂😂
 
Pochettino akielezea Palmer kumruhusu Sterling apige penalti hiyo:

"Nadhani unamfahamu vizuri huyo ni Cole. Lakini Cole alimpa mpira Raheem, nadhani wana uhusiano mzuri sana, ulitoka, bila shaka, Manchester City, walipokuwa wote Manchester City. Raheem alipoomba apewe, mpira wa kupiga penalti nadhani Cole alitoa [mpira], nina uhakika unaweza kuona kwenye TV.

Lakini hilo sio tatizo, Cole anaweza kukosa, Raheem anaweza kukosa, kwangu mimi uamuzi wao ni wao. Bila shaka, nitakubali

Pochettino on Palmer allowing Sterling to take the penalty:
"I think you know very well that is Cole. But Cole gave the ball to Raheem, I think they have a very good relationship, it came from, of course, Manchester City, when they were both at Manchester City. When Raheem asked for the ball to take the penalty I think Cole gave [the ball], I’m sure you can see the TV.

But that is not a problem, Cole can miss, Raheem can miss, for me their decision is theirs. Of course, I’ll alow
Tuletee kuhusu maneno yake against kumtoa Mudryk
 
  • Misses a Penalty.
  • Missed an easy 1v1.
  • Sends a free-kick to the moon.
 
In short kocha hatuna sijaona sababu ya kumtoa Mudryk nakumbakisha sterling,Pili wakati opponent wamechomoa kocha kaa tu na kakunya nne kwa kurelax utadhani anacheki movie hakuna cha kuhamasisha wala nini
 
Sterling akimnyang'anya Palmer mpira wa penalty dhidi ya Arsenal- Enzo Akaingilia kati
Kumbe kazoez hivyo

 
Chukwuemeka goal Cole Palmer Assist in FA CUP match against Leicester City

Hii link up nimeipenda sana

Chukwuemeka kafanya kama alivyofanya against Westham kabla hajaenda majeruhi

Chukwuemeka is so creative, wanatakiwa wacheze na Palmer pamoja


 
20240317_213723.png
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Unfortunately, mapenzi ya jinsia moja yamejaa sana kwenye soka la wanawake. Hata sisi Arsenal tuna shida hiyo. Vivienne Miedema alikuja Arsenal kutoka Bayern Munich kwa sababu demu wake alitangulia kuja, akamfuata. Baadae demu wake akaondoka Viv akachukuana na Lisa Evans. Lisa akaondoka, Viv sasa amechukuana na Beth Mead.

Man United women walipitia hayo pia walipowaleta Tobin Heath na Christen Press. Sijui story yao iliishaje ila Tobin alihamia Arsenal.
Kwa namna chelsea wanawake walivyokuwa wanagonga mali walipaswa kuwa na uefa maana ilifika anatolewa na Barca kwa aggregate ya 1-0 ,lakini kwa sasa ubora umepungua anafungwa na city easily kumbe midada inajichezea wipers .
 
Chukwuemeka adai Cole Palmer ana IQ ya ajabu sana na anajua mpira
Mnasemaje wakuu

 
Sterling kaomba msamaha kwa mashabiki, akina Madueke, Chilwell, Palmer na Jackson wakmfariji kwa kumuambia hakuna haja kaka sisi tunakupenda sana, hii inatokea kwenye mpira

1710701544520.png

1710701559378.png
 
Je wajua kuwa ni Chelsea na Man United ndio timu pekee ambazo zimesalia kwenye Kombe la FA msimu huu katika mashindano ya wanaume na wanawake?

Timu ya wanaume imepangwa dhidi ya Man City katika nusu fainali ya Kombe la FA wanaume wakati .

Chelsea wanawake wamepangwa dhidi ya Man United katika nusu fainali ya Kombe la FA wanawake.
Tuwaue Manchester wote kwa mara moja
1710702904905.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom