Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

20240505_171318.jpg
 
Cucurella ameibadilisha midfield
Muunganiko wa Gallagher na Caicedo pia no mzuri. Poche kama ana akili asivuruge hii lineup na style ya uchezàji
Mkuu hiyo midfield ni kwa sababu Enzo ni majeruhi ndio maana Cucurella anaingilia huko.

Lakini pamoja na ivyo mmeshasema Poch ni poor coach tusitegemee hiki mnachoomba
 
Mkuu hiyo midfield ni kwa sababu Enzo ni majeruhi ndio maana Cucurella anaingilia huko.

Lakini pamoja na ivyo mmeshasema Poch ni poor coach tusitegemee hiki mnachoomba
Hii alitakiwa akifanye siku nyingi. Mlisema hawa wachezaji ni average, mbona sasa wanaçheza vizuro?
Poche ameivuruga hii ti.u kwa kuwa rigid. Hii ipo wazi. Ak8shang'ang'ania styke isiyoleta matekeo mazuŕi anashikilia hapo hapo hadi meli imezama. Pre-season alikuwa na plan nzuri. Alimtumia Maatsen vizuri, ila ligi imeanza akavuruga kila kitu. Huyo ni kocha mbovu tu, it is too late kuja kumjua Cucu ni mzuri kwenye inverted LB
Too late kuja kujua kuwa Gallagher akicheza deep na Caicedo anakuwa bora kuliko akicheza no. 10
Kila kitu ni too late
 
Pre-season alikuwa na plan nzuri. Alimtumia Maatsen vizuri, ila ligi imeanza akavuruga kila kitu. Huyo ni kocha mbovu tu, it is too late kuja kumjua Cucu ni mzuri kwenye inverted LB
Pamoja na ingia toka ya wachezaji ikisababishwa na majeruhi, kiwango kidogo huwezi ku stick kwenye mfumo mmoja tu.

Yes ni Poch ni poor ila ni pamoja na Chelsea yote.
 
Kwenye mechi za hivi karibuni ambazo ENZO hachezi .. timu inakua na muunganiko mzuri wa kuchambulia .. hongera wana chelsea
 
I am so sick unapong'ang'ania neno average. So sick and tired
Thats the reality bro. Mkuu jifunze kuukubali ukweli hata kama kwako unahisi sio ukweli basi yaelewe maoni ya mtu mwingine. Hii itakusaidia kuondokana na hasira ndogo ndogo ukikutana na comment ambayo ipo kinyume na maono yako
 
Pamoja na ingia toka ya wachezaji ikisababishwa na majeruhi, kiwango kidogo huwezi ku stick kwenye mfumo mmoja tu.

Yes ni Poch ni poor ila ni pamoja na Chelsea yote.
Kwamba timu gani duniani kwasasa haina average players kwenye first 11 kama wewe kweli mpenzi wa mpira, average players inafichwa na mbinu ya mwalimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom