juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Mkuu na wewe siulikuwa unamtetea Poch?In short kocha hatuna sijaona sababu ya kumtoa Mudryk nakumbakisha sterling,Pili wakati opponent wamechomoa kocha kaa tu na kakunya nne kwa kurelax utadhani anacheki movie hakuna cha kuhamasisha wala nini
Nafurahi nikiona taratib mnaanza kukubali uhalisia