Ndio game yenu ya mwisho kupata ushindi hii.
Mutapoteana kama game 3 hivi, ndio mutashinda tena.

#Mganga kutoka Nyaminywiri#
 
The former Borussia Dortmund and Paris Saint-Germain boss is clear that he will prioritise honesty over making friends, while always maintaining a degree of unpredictability.
 

What did Tuchel say about Kovacic?

"I love him," Tuchel told the 5th Stand. "You can wake him up at 3 a.m. and he will be ready to train at Cobham at 3:15."
 
Ndani ya muda mfupi viwango vya wachezaji vinaanza kuamka tena
  1. Kepa - ameonyesha dalili ya kiwango chake kuamka kwenye mechi mbili alizocheza
  2. Rudiger - amerudi kwenye form baada tu ya Lampard kuachia ngazi
  3. Kovacic - yuko kwenye peak form tangu Tuchel achukue usukani
  4. Jorginho, kule kuchoka kwake na rafu nyingi haziko tena amerudi kwenye ubora wake
  5. Timo Werner, hii haitaki ubishi, Timu amefufuka, yule mnyama mla nyavu kutoka Leipzig kaanza kula nyavu kama kawaida yake
  6. Odoi, sio siri, ameendana kabisa na falsafa ya Tuchel na tutegemee makubwa kutoka kwa Odoi kipindi hiki cha Tuchel
Wachezaji hawa hata kama form yao haijashuka ila mfumo wa Tuchel ni kama unawatema
  1. Ben Chillwell - Tuchel naona amependa mfumo wa Conte wa back 5 badala ya back 4 na kwa hiyo Chilwell atasubiri sana Alonso apate majeruhi au mfumo ubadilishwe
  2. Kante - Kwa partnership ya Kovacic na Jorginho ilivyotick, Kante naye atasubiri sana labda Tuchel abadili aweke formation ya Kante
  3. Reece James nafasi yake naona kama Odoi anainyemelea labda Tuchel atumie backline ya 4
  4. Mendy itabidi tu akubali kushiriki mema ya nchi na Kepa
  5. Ziyech, Zouma, Pulisic na Havertz wanachotakiwa waonyeshe wamerudi kwenye form kwa dakika chache watakazopewa
 
Ndani ya muda mfupi viwango vya wachezaji vinaanza kuamka tena
  1. Kepa - ameonyesha dalili ya kiwango chake kuamka kwenye mechi mbili alizocheza
  2. Rudiger - amerudi kwenye form baada tu ya Lampard kuachia ngazi
  3. Kovacic - yuko kwenye peak form tangu Tuchel achukue usukani
  4. Jorginho, kule kuchoka kwake na rafu nyingi haziko tena amerudi kwenye ubora wake
  5. Timo Werner, hii haitaki ubishi, Timu amefufuka, yule mnyama mla nyavu kutoka Leipzig kaanza kula nyavu kama kawaida yake
  6. Odoi, sio siri, ameendana kabisa na falsafa ya Tuchel na tutegemee makubwa kutoka kwa Odoi kipindi hiki cha Tuchel
Wachezaji hawa hata kama form yao haijashuka ila mfumo wa Tuchel ni kama unawatema
  1. Ben Chillwell - Tuchel naona amependa mfumo wa Conte wa back 5 badala ya back 4 na kwa hiyo Chilwell atasubiri sana Alonso apate majeruhi au mfumo ubadilishwe
  2. Kante - Kwa partnership ya Kovacic na Jorginho ilivyotick, Kante naye atasubiri sana labda Tuchel abadili aweke formation ya Kante
  3. Reece James nafasi yake naona kama Odoi anainyemelea labda Tuchel atumie backline ya 4
  4. Mendy itabidi tu akubali kushiriki mema ya nchi na Kepa
  5. Ziyech, Zouma, Pulisic na Havertz wanachotakiwa waonyeshe wamerudi kwenye form kwa dakika chache watakazopewa
Lin zouma kacheza mkuuu zych fundi ila wote wanatakiwa kucheza
 
Ndani ya muda mfupi viwango vya wachezaji vinaanza kuamka tena
  1. Kepa - ameonyesha dalili ya kiwango chake kuamka kwenye mechi mbili alizocheza
  2. Rudiger - amerudi kwenye form baada tu ya Lampard kuachia ngazi
  3. Kovacic - yuko kwenye peak form tangu Tuchel achukue usukani
  4. Jorginho, kule kuchoka kwake na rafu nyingi haziko tena amerudi kwenye ubora wake
  5. Timo Werner, hii haitaki ubishi, Timu amefufuka, yule mnyama mla nyavu kutoka Leipzig kaanza kula nyavu kama kawaida yake
  6. Odoi, sio siri, ameendana kabisa na falsafa ya Tuchel na tutegemee makubwa kutoka kwa Odoi kipindi hiki cha Tuchel
Wachezaji hawa hata kama form yao haijashuka ila mfumo wa Tuchel ni kama unawatema
  1. Ben Chillwell - Tuchel naona amependa mfumo wa Conte wa back 5 badala ya back 4 na kwa hiyo Chilwell atasubiri sana Alonso apate majeruhi au mfumo ubadilishwe
  2. Kante - Kwa partnership ya Kovacic na Jorginho ilivyotick, Kante naye atasubiri sana labda Tuchel abadili aweke formation ya Kante
  3. Reece James nafasi yake naona kama Odoi anainyemelea labda Tuchel atumie backline ya 4
  4. Mendy itabidi tu akubali kushiriki mema ya nchi na Kepa
  5. Ziyech, Zouma, Pulisic na Havertz wanachotakiwa waonyeshe wamerudi kwenye form kwa dakika chache watakazopewa
Kante anafaa acheze na dm mwingine ila sio wenye style ya jorginho

Reece james bado anamechi zake, siku tukicheza na tim ambazo wachezaj wake wana pace kama spurs hapo tutegemee kumuona reec james
 
Chelsea wanawake tumepangwa na Atletico De Madrid kwenye round of 16, naona tuna bahati na Atletico mwaka huu

UEFA WOMEN'S CHAMPIONS LEAGUE

Women's Champions League last-16 draw: Lyon face Brondby, Chelsea take on Atletico Madrid

 
Back
Top Bottom