Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kaza walau uingie top six ndio uanze kuwaza top four.
Pengo langu na top four siyo kubwa kihivyo; pointi 6 na game moja mkononi. Acha niendelee kuwaza top four kwa sasa. Baadae naenda kucheki vijana wenu wakikipiga na Southampton.

Kwa sasa nadhani ule ubishi wa ipi ligi bora zaidi umeisha. Epl ya sasa kila mechi kali.
 
K k k k k k k k k Naona vibonde mnachekana.

Ivi ungekua uko nafasi ya pili ingekuaje?

Wewe mwenyewe nafasi ya nne msimu huu utaisikia kwenye bomba tu.
Hiyo nafasi ya 4 nitaisikia kwenye bomba kama ninavyoisikia hivi sasa au?
 
Good line up 3.4.3 tunashinda leo
IMG-20210220-WA0003.jpg
 
Chelsea manager Thomas Tuchel tells BT Sport:
"We do our stuff together with the team, we show a lot of pictures from previous matches because they are good behaviours and we want to improve. It has been a team effort in the last matches so hopefully it will be the same today.

"We did not prioritise defensive or offensive work, football is in any minute a team sport and we are solid as a team and have a good energy on the pitch in all phases of the team. That is a good mentality and good team spirit."

On starting Edouard Mendy: "It was not a tough decision, the decision was taken soon after my arrival that there was no need to change the (number one) goalkeeper. Monday was the moment to let Kepa Arrizabalaga know we trust him and let his confidence grow. He had good performances in that game and FA Cup but it was clear that Mendy would return as number one."

"I have a feeling N'Golo Kante will help in any games, it is a pure pleasure to have the guy in the squad, what we see in training is fantastic. We have three strong midfielders in Kante, Jorginho and Mateo Kovacic and I am very happy, they are the core of our game and I want to have minimum two of them on the pitch.

"Tammy Abraham was lucky not to be injured then lucky not to feel pain, he could train yesterday so we could field the same team offensively as in the last game."
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nafikiri akiingia Che Adams kuna goli la pili litahusika ambapo ama Che au Ings atascore.
 
Chelsea mtu mwenye bahati ya kuscore ni Giroud, naona kocha bado hajajua kama Giroud ndiyo talisman wa Chelsea.
 
Zile penat mnazoziponda mech ya pili zinawabeba mtakuwa mmejifunza kuwa na adabu sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom