ushabiki ugoroKwa staili hii top 4 tusahau, tupambanie Europa tu! Tuchel bado anatafuta first team kutoka kwa akina Kepa!
Amin brother. Jambo zuri kuona fowards wanafunga sasa. Hatimaye Liverpool katupusha kwenye nafasi ya nnePole sana blood, Allah amjalie apone haraka, Amiin
Saizi tunaongoza 2 bila
Ahg tumeshinda mkuu ..pole sana kwa mzee atakuwa poaa kabisa usiwaze ma men.Nakubali sana damu yangu. Utanipa updates mimi aitaangalia nauguliwa na mzee wangu tuko hospitali.
Best wishes The Blues[emoji838][emoji838][emoji838]
amerud kutoka wap?Instinct killer # timo is back
Matukio ya alonso huwa yanaonekana kweny tunapocheza na mabeki wa 4 ila tukicheza na mabeki wa 3 na 2 wingback sidhan km kuna mtu anaweza kumuweka alonso njeTuchel hawafahamu vizuri Alonso na Kepa, ngoja waanze na matukio
Na iwe hivyo ila jana Kepa hakupata majaribu yeyote ya maana. Kuhusu Alonso ni kweli kwa sababu jana alicheza kama no. 10 tungeshambuliwa seriously ndio ungeona mapungufu ya Alonso huku nyuma, kule mbele sina shida naye. He is good in attacking lakini defensively bado nasema Alonso hajabadilika. Muhimu la kufurahia timu imepata point 3 na cleansheet juuMatukio ya alonso huwa yanaonekana kweny tunapocheza na mabeki wa 4 ila tukicheza na mabeki wa 3 na 2 wingback sidhan km kuna mtu anaweza kumuweka alonso nje
Kepa sii mbovu sema ni confidence yake tu ilishuka
Wakati wa sarri alicheza vizuri sana ila kwa lampard mambo ndio yalibadlika
Hamuwezi ingia top 4 sababu hiyo nafasi ya nne ni ya westham kwa wiki hii [emoji1787][emoji1787]
Hii team inabebwa Sana na marefa haiwez chukua points 3 bila penalty
Jana Werner kacheza kizalendo kweli kweli, kafanyiwa rafu za kinyambisi halafu hata refa anajifanya hajaona. Well done Timo
Pamoja jombaaAhg tumeshinda mkuu ..pole sana kwa mzee atakuwa poaa kabisa usiwaze ma men.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Katika mechi 4 zilizopita werner kacheza vizuri, anaweza kuwa asifunge ila kwa namna moja au nyingine amekuwa involve kwenye magoal yetu katika mechi 4 kam sijakosea zilizopita katika leagueJana Werner kacheza kizalendo kweli kweli, kafanyiwa rafu za kinyambisi halafu hata refa anajifanya hajaona. Well done Timo
Na kocha sio kupanga koni Tu uwanjani na kutoa maelekezo lkn pia unyanyue viwango vya wachezaji na uwape morali👏Matukio ya alonso huwa yanaonekana kweny tunapocheza na mabeki wa 4 ila tukicheza na mabeki wa 3 na 2 wingback sidhan km kuna mtu anaweza kumuweka alonso nje
Kepa sii mbovu sema ni confidence yake tu ilishuka
Wakati wa sarri alicheza vizuri sana ila kwa lampard mambo ndio yalibadli