Fafanua vizuri tafadhali ChifuUEFA WADAI
Magoli ya ugenini yatahesabiwa hata kama mechi zinachezwa ugenini
Kuna baadhi ya team azichezi kwenye uwanja wao mfano mzuri atlectico Madrid kutokana na janga la Corona so wamepangiwa viwanja vingine ambavyo vitatumika Kama home stadium so mdau anamaanisha Kama wataruhusu magoals kwenye hizo stadium zitahesabiwa Kama Ni magoals ya away
Umeeleweka KakaKuna baadhi ya team azichezi kwenye uwanja wao mfano mzuri atlectico Madrid kutokana na janga la Corona so wamepangiwa viwanja vingine ambavyo vitatumika Kama home stadium so mdau anamaanisha Kama wataruhusu magoals kwenye hizo stadium zitahesabiwa Kama Ni magoals ya away
Mfano jana Liverpool ndio walikuwa ugenini, yale magoli mawili yatahesabiwa kama vile Liverpool waliyapata wakiwa Red Bull Arena. Kwa hiyo wakirudiana Anfield watakuwa na advantage ya magoli ya ugenini
Tatizo lipo kwenye kujiposition....Goli la Werner hata mm naweza kufunga tena kwa urahisi kabisa .pia nisingeshangilia
We zinakushinda zile za Pernandez tuGoli la Werner hata mm naweza kufunga tena kwa urahisi kabisa .pia nisingeshangilia
Du hyo inasaidia nni ssa mkuuu ajipange ache utoto apange timu nzuri na awe na mbinuMpaka sasa hivi baada ya mechi 5 za Ligi na FA Cup, Tuchel hajafungwa goli hata moja na mchezaji wa timu pinzani, goli pekee alilofungwa Tuchel ni lile la Rudiger. Hongera Tuchel
Hizi tambo za ukubwa pale London ni zamu zamu. Tumewaacha mkae juu muda mrefu kidogo, msije mkaanza kujisahau. Top four kuna nafasi yetu moja pale. Nawakumbusha tu kuwa majeruhi wetu wanaanza kurudi na pia hatuna big games za kututisha huko mbele.Champions League football is back... Chelsea are once again, the only London club left in the competition.
We’re also above every other London club in the Premier League table, and the only London club left in the FA Cup.
Kwani kafanya utoto upi mkuu?Du hyo inasaidia nni ssa mkuuu ajipange ache utoto apange timu nzuri na awe na mbinu
Haw wakinamama wanabonda kweli kweli hawana shughuli ndogoChelsea wanawake tumepangwa na Atletico De Madrid kwenye round of 16, naona tuna bahati na Atletico mwaka huu
UEFA WOMEN'S CHAMPIONS LEAGUE
Women's Champions League last-16 draw: Lyon face Brondby, Chelsea take on Atletico Madrid
Kaza walau uingie top six ndio uanze kuwaza top four.Hizi tambo za ukubwa pale London ni zamu zamu. Tumewaacha mkae juu muda mrefu kidogo, msije mkaanza kujisahau. Top four kuna nafasi yetu moja pale. Nawakumbusha tu kuwa majeruhi wetu wanaanza kurudi na pia hatuna big games za kututisha huko mbele.
#COYS
K k k k k k k k k Naona vibonde mnachekana.Kaza walau uingie top six ndio uanze kuwaza top four.
Mzee wa kusikia harufu za ubingwa😀 VP sahv umepata mafua nnIle fungate sasa ishakwisha, leo Soton wanaanza kuhalibu show.
Kuna mijitu humu mpaka kufika saa kumi jioni yatakua yashakimbia na mengine yatakuja na I'd mpya.