Cheltako kacheza na kipalila cha magotini.
Timu haijulikani hata inchi gani inatokea!?
Una la kuongea sahii?Ni kwamba fans wa blues Amna access ya mtandao ili mjadili mechi yenu ya UEFA ama mshajichokea na timu yenu ???
Mmeona kikosi Cha super Frankie ??? Rudiger wenu mnampigia kelele hachez haya Leo yumo, ngoja achomeshe akili ziwakae sawa !!!
Mliotea tu mama !!Una la kuongea sahii?
Shauri yako 😆😆😆Mliotea tu mama !!
Kama vipi njoo kwa PM nikupe ndonga za pesa.Ni wewe kiazi ndiyo usiyejua kitu, kwani hao waliopanga makundi ya UCL si waliona team ina deserve?
Hujui kitu keep quit, sio lazima na wewe uonekane umetype comment yako.
Hata mpaka sasa iko on and off mapaka ubembeleze kweli. Huu uchaguzi upite tuNimekuja kuwakera kidogo Ollachuga Oc 😂😂😂 jana kuanzia mida ya saa 2 kasoro usiku JF ilipigwa pin nahisi maana kwangu ilikuwa haipatikani kabisaa
IN LAMPARD WE TRUST!Bado kidgo sina iman na lampard
Yah n kweli kuna muda ilikuwa haipatikani lkn nkashangaa nikiingia kupitia freebasics ndo naipataNimekuja kuwakera kidogo Ollachuga Oc 😂😂😂 jana kuanzia mida ya saa 2 kasoro usiku JF ilipigwa pin nahisi maana kwangu ilikuwa haipatikani kabisaa
Werner ateuliwe kama mpiga penati rasmi wa timu. Ile penati ya Werner ndio aina ya penati tunazozitaka za kibabe na ufundi wa hali ya juu.Mpiga penat wetu anapiga penat kama vile anavuka mtaro
Yaani anapiga kama Hari Kane, safi sana. Upigaji wa Jo mimi siupenda, Kipa mzuri anadaka.Werner ateuliwe kama mpiga penati rasmi wa timu. Ile penati ya Werner ndio aina ya penati tunazozitaka za kibabe na ufundi wa hali ya juu.
Joginho hayuko serious na penati zake za kivivu kurukaruka bila sababu ya msingi.
Jamaa aliishindilia ile penati knoma, kipa angedaka bc angeingia nao golinWerner ateuliwe kama mpiga penati rasmi wa timu. Ile penati ya Werner ndio aina ya penati tunazozitaka za kibabe na ufundi wa hali ya juu.
Joginho hayuko serious na penati zake za kivivu kurukaruka bila sababu ya msingi.
Mbona penati zake nzuri tu man..imetokea bahati mbaya imegonga post lkn alikuwa kamuuza kipa vizuri tu....Bruno ,jorghino n moja ya penalty takers wazuri EPLWerner ateuliwe kama mpiga penati rasmi wa timu. Ile penati ya Werner ndio aina ya penati tunazozitaka za kibabe na ufundi wa hali ya juu.
Joginho hayuko serious na penati zake za kivivu kurukaruka bila sababu ya msingi.