Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,293
- 21,737
Najaribu ku otea line up
Pulisic-Abraham-Willian
Mount-Kanté-Kovacic
Alonso-Rudiger-Christensen-Azpilicueta
Kepa
Nimepanga ivyo kwa kuzingatia aina ya uchezaji wetu. Sitegemei leo tucheze kwa kudefend na ndio maana hapo yupo Kanté akisaidiana na Kova kwa mashambulizi ya kushtukiza. Ninachotegemea kukiona leo ni Watford kuchezea kwenye box lao. Pia kwa kumuanzisha Tammy mechi iliyopita inaonyesha Lamps bado anaimani na dogo lakini lazima atafanyiwa sub badae Giroud. Lakini pia kwa performance ya Barkley mechi iliyopita sion akianza leo. Karibuni tujadili blues
KTBFFH
Pulisic-Abraham-Willian
Mount-Kanté-Kovacic
Alonso-Rudiger-Christensen-Azpilicueta
Kepa
Nimepanga ivyo kwa kuzingatia aina ya uchezaji wetu. Sitegemei leo tucheze kwa kudefend na ndio maana hapo yupo Kanté akisaidiana na Kova kwa mashambulizi ya kushtukiza. Ninachotegemea kukiona leo ni Watford kuchezea kwenye box lao. Pia kwa kumuanzisha Tammy mechi iliyopita inaonyesha Lamps bado anaimani na dogo lakini lazima atafanyiwa sub badae Giroud. Lakini pia kwa performance ya Barkley mechi iliyopita sion akianza leo. Karibuni tujadili blues
KTBFFH