Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread


Today’s goals, along with that penalty against West Ham, means Willian is the first player to score a goal in every month of the year.

‘I didn’t know about that! I’m happy with the goals, but when we’ve lost it’s a bit difficult. I feel very disappointed.

‘Now it’s time to rest well, recover well, and fight for the three points on Saturday.’
 
Kwa usajili mlioufanya so far, msimu ujao mtakuwa vizuri. Ongezeni center back wa uhakika.
Mngempata Ighalo mngekuwa poa sana
 
Nyumbu watatupiga hata 6-0, tena siku hiyo nikiwa hai sitahangaika kutizama hiyo mechi zaidi ya kujilalia zangu tu home.
 
Mario Pasalic aipatia Antalanta goli muhimu na zuri, tulimuuza kwa paundi mil 12.5 tu, je tumrudishe?
Kule Antalanta anacheza kama Kiungo wa katikati
 
Mario Pasalic aipatia Antalanta goli muhimu na zuri, tulimuuza kwa paundi mil 12.5 tu, je tumrudishe?
Kule Antalanta anacheza kama Kiungo wa katikati
Uyo ci ameuzwa juzi kati? Atarudishwaje tena,?
 
Kuna mashabiki hapa wanjiita Chelsea wanajitokeza tu timu ikifungwa ili wawakosoe wachezaji au kocha. Timu ikishinda hawaonekani kabisa wako bussy kwenye majukwaa mengine
hao kawaid kuwepo ,unawapotezea tu
 
Mario me nmuon wa kawaid sana , Chelsea shida kubwa ni kule nyuma beki ,cb na lb ndo wanahitajik san
wachezaji wengi wa Antalanta ni wa kawaida sana na bei za kununua utashangaa sana, tofauti yao kubwa kila mechi wanajituma na ndio maana wanapata matokeo
 
Kuna mashabiki hapa wanjiita Chelsea wanajitokeza tu timu ikifungwa ili wawakosoe wachezaji au kocha. Timu ikishinda hawaonekani kabisa wako bussy kwenye majukwaa mengine

Mimi nawaaita Beting fans. Wanabeti kwa miemko wakiwa tayari wana matokeo mkononi. Mkeka ukichanika ndiyo wanakimbilia hapa kuwakosoa wachezaji na kocha
 
Mimi nawaaita Beting fans. Wanabeti kwa miemko wakiwa tayari wana matokeo mkononi. Mkeka ukichanika ndiyo wanakimbilia hapa kuwakosoa wachezaji na kocha
hao timu ikifungwa wataponda kocha lmpard out
Wao kwao kufungwa sumu
 
We shoga hujui kitu, bora ukatuliza kalio lako acha kutetea upuuzi, kocha ndio tatizo.
Unaweza kuta mtu anaye andika hivi ni either baba wa watoto watatu na mke juu or mtoto wa form four. In either way you cant be blamed kwa sababu stress za maisha nazielewa unaweza kuwa unaamini kutukana kunaleta releaf ya maisha uko kwenye foolish age.

Nakwambiaje kama uko kwenye stage ambayo ni lazima upitie kwa iyo utapita na utakuja kujiona pimbi sana. NIMEMALIZA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom