sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,989
- 42,700
Nyumbu watatupiga hata 6-0, tena siku hiyo nikiwa hai sitahangaika kutizama hiyo mechi zaidi ya kujilalia zangu tu home.
Nyumbu watatupiga hata 6-0, tena siku hiyo nikiwa hai sitahangaika kutizama hiyo mechi zaidi ya kujilalia zangu tu home.
Jiamini ana kulia kulia ..wale man u watalamba lolo..Nyumbu watatupiga hata 6-0, tena siku hiyo nikiwa hai sitahangaika kutizama hiyo mechi zaidi ya kujilalia zangu tu home.
Wee ulisikia wapi Chelsea anafungwa mara mbili na katimu kale kale?Wewe unaugua?
Kumbuka tarehe 9 august anafikisha 32, ukimuongezea 3yrs, kama unavyopendekeza.WILIAN APEWE MKATABA MPYA WA MIAKA MITATU
Kwa maoni yangu Willian apewe mkataba wa miaka mitatu anayotaka kwa sababu ameshaproof kuwa anastahili. Gambling ya Willian ni ndogo kuliko ile ya wachezaji wageni
Kama un aunga mkono weka like yako hapa
Yaani kufunga FREE KICK mnataka apewe mkataba?WILIAN APEWE MKATABA MPYA WA MIAKA MITATU
Kwa maoni yangu Willian apewe mkataba wa miaka mitatu anayotaka kwa sababu ameshaproof kuwa anastahili. Gambling ya Willian ni ndogo kuliko ile ya wachezaji wageni
Kama un aunga mkono weka like yako hapa
West ham ametufunga mara mbili home and away. Tatizo la Mashabiki wengi wa Chelsea ni oyaaa oyaaa. Hatujui kuchambua mpira, mifumo, wachezaji, historia ya timu, future plan za club. Tunaenda kama mang'ombe tuu.Wee ulisikia wapi Chelsea anafungwa mara mbili na katimu kale kale?
Wee ulisikia wapi?
adjust volume pleaseJiamini ana kulia kulia ..wale man u watalamba lolo..
BournamouthWest ham ametufunga mara mbili home and away. Tatizo la Mashabiki wengi wa Chelsea ni oyaaa oyaaa. Hatujui kuchambua mpira, mifumo, wachezaji, historia ya timu, future plan za club. Tunaenda kama mang'ombe tuu.
West hamWee ulisikia wapi Chelsea anafungwa mara mbili na katimu kale kale?
Wee ulisikia wapi?
Wanacheza na wababe wa mabingwaChelsea ni jamvi la wageni
Watford tunakuja kuchukua points zetu 3
Wee leta porojo huku pale Wolves akishaleta msiba ndio utaelewa shughuli.Wanacheza na wababe wa mabingwa
Shabiki oyaaa oyaaa huyo. Shangamsha kijiweWest ham
Man U
Bournamouth
Bayern munchen
Miaka 35 tuKumbuka tarehe 9 august anafikisha 32, ukimuongezea 3yrs, kama unavyopendekeza.
Kuja kuisha mkataba atakuwa anaelekea 35.
Age aliyoko willian siyo kumuamini kumpa mkataba wote huo, yaleyale ya Herrera na Man U.
Katika hiyo line up ingekua vizuri Jorginho aanzie bench hapo akae Kovacic.Predicted Chelsea team against Watford
Formation: 4-3-3
Kepa;
James Zouma, Rudiger, Azpilicueta,
Jorginho, Kante, Mount;
Willian, Giroud, Pulisic.
View attachment 1497411