Refa aliingia uwanjani na matokeo yake, kwanini VAR haikuchora mstari kuthibitisha offside goal la Jackson?Ile kwa maoni yangu haikuwa kwenye level ya red card, ni kwa vile refa alilazimishwa tu kwenda kwenye monitor
Ila uko sawa naye James haikutakiwa kufanya ule ujinga, kapteni mzima na uzoefu mwingi anafanya kama mtoto
Wangetuzamisha, bora wameondokaChelsea ingewabakisha wakongwe ksma kina mount, harvez na ziyech wangesaidia sana hawa vijana. Ila not bad timu inaendelea kuimarika, hongera kwao.
Game nyingi tulifungwa kizembe hata na Aston villa first game, tumepoteza zaidi ya points 10 kizembee kabisaaaNikikumbuka game tulizopoteza kizembe top four ilikuwa yetu kabisa tumefungwa 1-0 na Nottingham,tume draw 2-2 na sheffield,draw 1-1 Burnley,tulifungwa na westham 3-1 kizembe kabisa,utoto ulikuwa mwingi sana
Kuna game tulipata nafasi ya kuongoza na bado tukapoteza hapa ndio pa kurekebisha ,hawa watoto wasipokemewa wataanza ligi na huu ujinga halafu mwishoni wanachangamka,tuleluacha astonvilla akache uefa wakati hana uwezo wa kumfunga hata olimpiacos ,anakwenda kuwa wa mwisho kwenye kundiGame nyingi tulifungwa kizembe hata na Aston villa first game, tumepoteza zaidi ya points 10 kizembee kabisaaa
Sasa hivi tungekuwa kwenye 70+ points
Ten hag vipi IN or OUTVipi chelkenge poch IN or OUt
We timu gani?Mmechelewa. Timu imekuja kukaa sawa muda ushaenda. Endeleeni kumwamini pocc msimu ujao kutakuwa na matumaini.
Zile signing za Mudrky, Caicedo, Jackson, Disasi, Mukieli nk zilikuwa na matumaini ambayo yamekuja kuonekana mwishoni.
Msimu ujao baada ya Arsenal kujikatia tamaa mtakuwa kwenye kundi la kupambania ubingwa...