Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilichogundua watu humu ndani wanachuki na wachezaji wa kingereza haijalishi wamechezaje wenyewe watawaponda tu
We wazoee tu work rate ya mount Ni kubwa Sana uwanjani ukiacha tu kufunga na kupiga key pass sijui Hili hawalioni?
 
1st goal. Giroud
1593894152039.gif
 
RLC, Odoi na Tammy wanaingia
Willlan, Giroud na Mount off
 
Leo Chelsea wanacheza kwa nidhamu ya hali ya juu, nguvu na kasi. wanafuata kama kocha alivyowafundisha. Kudos
 
Kuna jamaa wana chuki bila hata sababu kwa baadhi ya wachezaji. Hiyo ilikuwa reminder call
Chuki zako wewe mmatumbi wa chalambe kwa mbiku zina athari gani kwa mchezaji aliye London UK?
Huko ni kujitia msongo wa mawazo bure mwisho mjiue
 
Mizigo leo yanacheza vizuri
Barkley anafunga goli zuri la tatu
3-0 dk ya 91
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom