Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,883
- 10,193
Kubali Conte alikosea ku-handle issue ya Diego Costa msimu huu karibia wachezaji 4 wa Chelsea walipishana nae (Luiz,Rudiger,TBO,Hazard & Willian) lakini wote walipopewa nafasi walicheza na kuipigania timu makocha kupishana na wachezaji ni kawaida baada ya hapo wanasahau na kuendelea kufanya kazi pamoja hii issue ya Costa angeifanya Mourinho sidhani kama kuna mtu angemteteaHe had never enjoyed life at London. Find more sources of information
Kama Costa hakupenda maisha ya London why hakutaka kuondoka wakati Mourinho anafundisha?