Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi kweli Sarri ni bora zaidi ya Conte? Mimi nadhani kama hakuna option bora zaidi ya Sarri basi abaki tu Conte. He is a serial winner View attachment 786936
Conte ni mtu sahihi kwa Chelsea yetu. Tatizo tu kuna msuguano kati yake na bodi. Wachezaji anaowataka Conte siyo anaoletewa.

Ni mtu ambaye anaweza kuimprove timu na wachezaji. Naweza kusema Chelsea ya kwetu angekaa nayo muda wa miaka mingine miwili tungekuja kupata timu nzuri sana.

Msimu huu ukweli ni kwamba hatukuwa na wachezaji ambao Conte anawahitaji hasa katika baadhi ya maeneo kama Striker na midfield. Lakini pia hatukuweza kupata beki wa kati mzoefu.

Sari ni kocha anayependa mpira wa pass(tick-tack) na kushambulia. Ni mpira mzuri ila ukichezwa bila malengo na mikakati madhubuti hauna maana. Mfano ni Tottenham ambao wamecheza mpira mzuri wa kuchambulia lakini mpaka sasa hawana cha maana walichochukua.

Isitoshe Chelsea haina aina ya wachezaji wa kucheza tick-tack. Kante, Fabrigas, Hazard, Christensen na Azpillicueta kidogo ndo wangeweza kufit. Sasa hapo ujue inakuwa vigumu kuchukua EPL kwa mazingira haya.

Sari atahitaji muda wa kutengeza timu inayofit style yake. Swali linakuwa ni je Chelsea itamvumilia kwa misimu miwili au mitatu?
Je klub itakubali kutumia pesa kama Man city wanavyofanya ili kununua wachezaji wa kufit style ya Sari?

Au yatakuwa kama ya Andre Boaz? Maana sababu ya kumleta Boaz ni sababu anapenda mpira wa pass ni offensive football. Lakini tunajua kilichompata. Sari is not an exception.

Tatizo jingine la Chelsea wachezaji fulani wanakuwa na power(indirectly) kuliko makocha. Kipindi kile walikuwepo Terry, Lampard, Drogba na Peter Cheki, Yaani hawa ilikuwa wakimchukia kocha basi hakuna namna lazima aondoke. Haka katabia naona kuna watu wamekarithi.

Alafu falsafa ya Conte ni work, work, work. Hii ni kama haieleweki kwa wachezaji wengi wa Chelsea, mfano mtu kama Willian mgogoro wake ni kwa sababu hapendi kunituma sana mpaka aamue.

So Sari peke yake hatamaliza matatizo ya Chelsea.

[HASHTAG]#Conte[/HASHTAG] abaki apewe World class sticker, full back mmoja mzoefu na kiungo mmoja pamoja na RWB. Atatusaidia sana.
 
Conte ni mtu sahihi kwa Chelsea yetu. Tatizo tu kuna msuguano kati yake na bodi. Wachezaji anaowataka Conte siyo anaoletewa.

Ni mtu ambaye anaweza kuimprove timu na wachezaji. Naweza kusema Chelsea ya kwetu angekaa nayo muda wa miaka mingine miwili tungekuja kupata timu nzuri sana.

Msimu huu ukweli ni kwamba hatukuwa na wachezaji ambao Conte anawahitaji hasa katika baadhi ya maeneo kama Striker na midfield. Lakini pia hatukuweza kupata beki wa kati mzoefu.

Sari ni kocha anayependa mpira wa pass(tick-tack) na kushambulia. Ni mpira mzuri ila ukichezwa bila malengo na mikakati madhubuti hauna maana. Mfano ni Tottenham ambao wamecheza mpira mzuri wa kuchambulia lakini mpaka sasa hawana cha maana walichochukua.

Isitoshe Chelsea haina aina ya wachezaji wa kucheza tick-tack. Kante, Fabrigas, Hazard, Christensen na Azpillicueta kidogo ndo wangeweza kufit. Sasa hapo ujue inakuwa vigumu kuchukua EPL kwa mazingira haya.

Sari atahitaji muda wa kutengeza timu inayofit style yake. Swali linakuwa ni je Chelsea itamvumilia kwa misimu miwili au mitatu?
Je klub itakubali kutumia pesa kama Man city wanavyofanya ili kununua wachezaji wa kufit style ya Sari?

Au yatakuwa kama ya Andre Boaz? Maana sababu ya kumleta Boaz ni sababu anapenda mpira wa pass ni offensive football. Lakini tunajua kilichompata. Sari is not an exception.

Tatizo jingine la Chelsea wachezaji fulani wanakuwa na power(indirectly) kuliko makocha. Kipindi kile walikuwepo Terry, Lampard, Drogba na Peter Cheki, Yaani hawa ilikuwa wakimchukia kocha basi hakuna namna lazima aondoke. Haka katabia naona kuna watu wamekarithi.

Alafu falsafa ya Conte ni work, work, work. Hii ni kama haieleweki kwa wachezaji wengi wa Chelsea, mfano mtu kama Willian mgogoro wake ni kwa sababu hapendi kunituma sana mpaka aamue.

So Sari peke yake hatamaliza matatizo ya Chelsea.

[HASHTAG]#Conte[/HASHTAG] abaki apewe World class sticker, full back mmoja mzoefu na kiungo mmoja pamoja na RWB. Atatusaidia sana.
we have the best football academic in the world which producing a very high talents... tunahitaji mtu wa kuviendeleza hivi vipaji...u can't develop that lads with those Conte's stupid train sessions... only Nigerian & fews Tz plastic fans...who no nothing about our club...keep on backing conte....the man has lost the plot, u don't need rocket science 2 figure it out.
 
.Conte ni kocha mzuri ndiyo...ila senior players pamoja na bodi hawamtaki...kutokana na kiburi chake....sarri hajachukua kombe lolote....ila ni aina ya kocha kama Poch wa spur...they like 2 play beautiful football... that is what the big boss want....
Good. Sasa kwa nini SSC Napoli katupiwa virago? Hv hata Man city chini ya Pep Guadiola angekuwa anacheza mpira mzuri tu bila kombe pangetulia? Kwa sababu hata Mourinho sioni kama atakuwa na maisha marefu pale Man U kama uhaba wa vikombe utaendelea. Angalia hata case ya mzee Wenger.
Lakini ukiachana na hiyo mifano hapo juu, hebu itazame kwa umakini hii timu yetu pendwa utagundua ndani ya klabu upande wa management sio mzuri. Haiingii akilini kwa kila kocha anaeajiriwa hamalizi mkataba. Suala la senior players kuna wakati lazima wakubali hali halisi. Jebu rudi nyuma kidogo angalia enzi za "Fergason regime" waliuzwa akina Bekham ilhali wapo katika "peak". Ukija kuwatumia wachezaji wadogo ni "process" haiwezi kuanza ghafla bin vuu. Huwezi kusema unatumia un experienced players wakati huohuo unataka kupata vikombe.
 
Conte ni mtu sahihi kwa Chelsea yetu. Tatizo tu kuna msuguano kati yake na bodi. Wachezaji anaowataka Conte siyo anaoletewa.

Ni mtu ambaye anaweza kuimprove timu na wachezaji. Naweza kusema Chelsea ya kwetu angekaa nayo muda wa miaka mingine miwili tungekuja kupata timu nzuri sana.

Msimu huu ukweli ni kwamba hatukuwa na wachezaji ambao Conte anawahitaji hasa katika baadhi ya maeneo kama Striker na midfield. Lakini pia hatukuweza kupata beki wa kati mzoefu.

Sari ni kocha anayependa mpira wa pass(tick-tack) na kushambulia. Ni mpira mzuri ila ukichezwa bila malengo na mikakati madhubuti hauna maana. Mfano ni Tottenham ambao wamecheza mpira mzuri wa kuchambulia lakini mpaka sasa hawana cha maana walichochukua.

Isitoshe Chelsea haina aina ya wachezaji wa kucheza tick-tack. Kante, Fabrigas, Hazard, Christensen na Azpillicueta kidogo ndo wangeweza kufit. Sasa hapo ujue inakuwa vigumu kuchukua EPL kwa mazingira haya.

Sari atahitaji muda wa kutengeza timu inayofit style yake. Swali linakuwa ni je Chelsea itamvumilia kwa misimu miwili au mitatu?
Je klub itakubali kutumia pesa kama Man city wanavyofanya ili kununua wachezaji wa kufit style ya Sari?

Au yatakuwa kama ya Andre Boaz? Maana sababu ya kumleta Boaz ni sababu anapenda mpira wa pass ni offensive football. Lakini tunajua kilichompata. Sari is not an exception.

Tatizo jingine la Chelsea wachezaji fulani wanakuwa na power(indirectly) kuliko makocha. Kipindi kile walikuwepo Terry, Lampard, Drogba na Peter Cheki, Yaani hawa ilikuwa wakimchukia kocha basi hakuna namna lazima aondoke. Haka katabia naona kuna watu wamekarithi.

Alafu falsafa ya Conte ni work, work, work. Hii ni kama haieleweki kwa wachezaji wengi wa Chelsea, mfano mtu kama Willian mgogoro wake ni kwa sababu hapendi kunituma sana mpaka aamue.

So Sari peke yake hatamaliza matatizo ya Chelsea.

[HASHTAG]#Conte[/HASHTAG] abaki apewe World class sticker, full back mmoja mzoefu na kiungo mmoja pamoja na RWB. Atatusaidia sana.
Nakubaliana na wewe. Sahihi usemalo
 
we have the best football academic in the world which producing a very high talents... tunahitaji mtu wa kuviendeleza hivi vipaji...u can't develop that lads with those Conte's stupid train sessions... only Nigerian & fews Tz plastic fans...who no nothing about our club...keep on backing conte....the man has lost the plot, u don't need rocket science 2 figure it out.
Siamini kwa usemalo. Anyway, kwa hiyo wewe unaamini Sarri ni mtu sahihi kwa klabu yetu?
Pili, je sera za mmiliki wa Chelsea zimebadilika? Za kuwa na uvumilivu wa kumaliza misimu miwili mitatu bila kombe?
Tatu, we unaesema ndiye miongoni mwa wafia timu, hawa academic players watapandishwa timu A ghafla bin vuu? Je hakuna waliopandishwa chini ya Conte?
Naamini kuwapandisha academic players katika timu A ni "gradual process" ambayo lazima kocha ajiridhishe
 
Siamini kwa usemalo. Anyway, kwa hiyo wewe unaamini Sarri ni mtu sahihi kwa klabu yetu?
Pili, je sera za mmiliki wa Chelsea zimebadilika? Za kuwa na uvumilivu wa kumaliza misimu miwili mitatu bila kombe?
Tatu, we unaesema ndiye miongoni mwa wafia timu, hawa academic players watapandishwa timu A ghafla bin vuu? Je hakuna waliopandishwa chini ya Conte?
Naamini kuwapandisha academic players katika timu A ni "gradual process" ambayo lazima kocha ajiridhishe
sarri namkubali....sababu mimi ni miongon mwa mashabiki ninayependa attacking football.... hata mmiliki wa chelsea anahitaji hilo,

kuhusu kupandishwa kwa academic players kwenye Senior team, Chelsea INA programs nzuri za ku develop wachezaji wadogo mpaka wanapokuwa ready then wanawajumuisha kwenye senior team, kwa mfano Terry, christensen nk.
IPO hivi, mchezaji anapo graduate, anatafutiwa timu na sharti lazima apate 60% ya game times...na hiyo inakuwaga kwenye loan terms. kuna wachezaji wengi tu out there wameshaiva, mfano Van Gingel, the big problem wakija wana feli kutokana na aina ya makocha tunao waajiri, mfano, De brune.

namkubali sarri kwa sababu naamini system yake inafit precisely na players characteristics tulionao, kwa mfano Hazard, willian na the likes.
 
sarri namkubali....sababu mimi ni miongon mwa mashabiki ninayependa attacking football.... hata mmiliki wa chelsea anahitaji hilo,

kuhusu kupandishwa kwa academic players kwenye Senior team, Chelsea INA programs nzuri za ku develop wachezaji wadogo mpaka wanapokuwa ready then wanawajumuisha kwenye senior team, kwa mfano Terry, christensen nk.
IPO hivi, mchezaji anapo graduate, anatafutiwa timu na sharti lazima apate 60% ya game times...na hiyo inakuwaga kwenye loan terms. kuna wachezaji wengi tu out there wameshaiva, mfano Van Gingel, the big problem wakija wana feli kutokana na aina ya makocha tunao waajiri, mfano, De brune.

namkubali sarri kwa sababu naamini system yake inafit precisely na players characteristics tulionao, kwa mfano Hazard, willian na the likes.
Ni kweli Abramovic anapenda attacking football. Lakini vikombe ndo priority yake ya kwanza. Unaikumbuka Chelsea ya MaZaCar(Mata, Hazard, Oscar)? Hii ni Chelsea ya Andre Boaz, ilikuwa inacheza mpira wa pass na offensive football. Lakini pamoja na hayo Boaz alifurushwa.
Mimi simktai Sari ila sharti apewe wachezaji wanaofaa Style yake. Na bado haitasaidia sana maana atafukuzwa na mwingine atakayekuja atahitaji wachezaji wengine wanaofit his style of football
 
Ataondoka kwenda Liverpool kupata medali ya Champion League mwakani
Maana huko hawezi tena kucheza UCL,team isha jifia hiyo
Nani sasa hayaogopi Majogoo?
Majogoo wanaotegemea Salah. Jana Bale kakukza kweli kweli.
 
Ni kweli Abramovic anapenda attacking football. Lakini vikombe ndo priority yake ya kwanza. Unaikumbuka Chelsea ya MaZaCar(Mata, Hazard, Oscar)? Hii ni Chelsea ya Andre Boaz, ilikuwa inacheza mpira wa pass na offensive football. Lakini pamoja na hayo Boaz alifurushwa.
Mimi simktai Sari ila sharti apewe wachezaji wanaofaa Style yake. Na bado haitasaidia sana maana atafukuzwa na mwingine atakayekuja atahitaji wachezaji wengine wanaofit his style of football
mpira ni science mtu wang...usitabiri outcomes kirahisi hivyo, ngoja tumpe chance then tuone matokeo.
 
Former Chelsea man Nathaniel Chalobah supportive of Maurizio Sarri appointmentSpeaking to the Totally Italian Football Show, he said of Sarri: ''Playing under him was very easy as he puts out every single detail you need to know as a player. We’ve seen how Napoli play and it’s attractive football. He’s got the ability to drive his team and get the best out of the players. He’s a great guy.''
 
sarri namkubali....sababu mimi ni miongon mwa mashabiki ninayependa attacking football.... hata mmiliki wa chelsea anahitaji hilo,

kuhusu kupandishwa kwa academic players kwenye Senior team, Chelsea INA programs nzuri za ku develop wachezaji wadogo mpaka wanapokuwa ready then wanawajumuisha kwenye senior team, kwa mfano Terry, christensen nk.
IPO hivi, mchezaji anapo graduate, anatafutiwa timu na sharti lazima apate 60% ya game times...na hiyo inakuwaga kwenye loan terms. kuna wachezaji wengi tu out there wameshaiva, mfano Van Gingel, the big problem wakija wana feli kutokana na aina ya makocha tunao waajiri, mfano, De brune.

namkubali sarri kwa sababu naamini system yake inafit precisely na players characteristics tulionao, kwa mfano Hazard, willian na the likes.
Hata mie namkubali Sarri. Lakini wasiwasi wangu upo katika masuala haya:

1. Falsafa ya ligi kuu ya uingereza ie EPL
Ligi ya Uingereza ni ligi inayotaka kutumia nguvu kupata matokeo mosi, pili inahitaji uwekezaji wa "matured players" kwa kiasi kikubwa kwa MMILIKI ATAKAYE VIKOMBE. Mathalani Man City kaamua kuwekeza kwa wachezaji wanaofit staili atakayo Pep Guardiola mwishowe kapata matokeo mazuri. (Refer kuna mchango hapo juu wa kiasi walichowekeza). Utaona hawa wote walionunuliwa ni wachezaji waliokuwa na utayari wa kushindana. Na vilevile wenye nguvu

2. Bodi ya Chelsea na mikakati mibovu.
Bodi hii naona ina mapungufu na nafasi ya Emenalo inaonekana wazi. Huyu mama Maria kapwaya. Kwanza uwezo wa kulisoma soko linataka nini na kwa wakati gani anashindwa kulisoma, pili mchezaji yupi muhimu wa kumnunua kwa wakati ule inapokuwa "proposed" na kocha hadi maamuzi kufanya inakuwa nje ya muda hivyo matokeo yale tunashindwa kupata wachezaji sahihi wa kiwango cha juu.

3. Back up ya wachezaji kutoka academic
Hili kwa mimi nililiona hasa kwa mfumo wa Conte ambaye aliwapandisha wachezaji wengi akiwemo Christensen, Odoi, Loftus Challobah et al. Tatizo limekuja katika adaptation ya mfumo wa kocha. Lazima muda zaidi apewe. Sasa huwezi ukampandisha mchezaji leo then utegemee 100% acheze wakati yupo matured aliesajiliwa. Mfano dogo yule alieyeenda Rangers Mbelgiji (jina limenitoka) alikuwa anaandaliwa mbadala wa Hazard. Hata hk mbona kaenda kuboronga.

4. Migogoro na wachezaji wakubwa
Tukianzia suala la Willian, mfano mechi ya fainali ya FA ya juzi juzi tu, mwalimu alikuja na mbinu ya 3-5-2 ambayo alishamsoma Mourinho na kujua lazima azuie zaidi hivyo kubaki na option ya kumwacha nje either Willian au Hazard. Ss ww ungemwacha nani na unataka matokeo? Pili, Conte ni watu jamii ya Ferguson, Martinez nk wanaoamini katika NIDHAMU YA MCHEZAJI HULETA MATOKEO CHANYA. Sasa mchezaji kujiona mkubwa kuliko timu case za akina Luiz et al ndiyo zinazoiingiza timu katika hasara za kubadilisha makocha. Lazima wakubali timu ni kubwa kuliko mchezaji.

5. Mfumo na ujenzi wa timu
Vilevile hili hebu tulinote down. Wachezaji wangapi wamesajiliwa? Timu kuitengeneza hadi kucheza mpira mzuri lazima muda upatikane. Mwaka jana watu humu walisema Conte kabeba kombe kwa kikosi cha Mourinho. Haya kaanza kujenga kikosi chake, mnasema hafai. Mourinho alifukuzwa kwa nini sasa kama kikosi kilekile kilitoa kombe na kilikile kikamaliza nafasi ya 10?. Tazama hata wengine kama Liverpool (poleni kwa kupoteza ktk fainali, lakini kuteleza si kuanguka), Tottenham, Man city et al wanaocheza mpira wa kuvutia utaona makocha walipewa rasilimali zote muhimu ikiwa pamoja na muda.
 
Hata mie namkubali Sarri. Lakini wasiwasi wangu upo katika masuala haya:

1. Falsafa ya ligi kuu ya uingereza ie EPL
Ligi ya Uingereza ni ligi inayotaka kutumia nguvu kupata matokeo mosi, pili inahitaji uwekezaji wa "matured players" kwa kiasi kikubwa kwa MMILIKI ATAKAYE VIKOMBE. Mathalani Man City kaamua kuwekeza kwa wachezaji wanaofit staili atakayo Pep Guardiola mwishowe kapata matokeo mazuri. (Refer kuna mchango hapo juu wa kiasi walichowekeza). Utaona hawa wote walionunuliwa ni wachezaji waliokuwa na utayari wa kushindana. Na vilevile wenye nguvu

2. Bodi ya Chelsea na mikakati mibovu.
Bodi hii naona ina mapungufu na nafasi ya Emenalo inaonekana wazi. Huyu mama Maria kapwaya. Kwanza uwezo wa kulisoma soko linataka nini na kwa wakati gani anashindwa kulisoma, pili mchezaji yupi muhimu wa kumnunua kwa wakati ule inapokuwa "proposed" na kocha hadi maamuzi kufanya inakuwa nje ya muda hivyo matokeo yale tunashindwa kupata wachezaji sahihi wa kiwango cha juu.

3. Back up ya wachezaji kutoka academic
Hili kwa mimi nililiona hasa kwa mfumo wa Conte ambaye aliwapandisha wachezaji wengi akiwemo Christensen, Odoi, Loftus Challobah et al. Tatizo limekuja katika adaptation ya mfumo wa kocha. Lazima muda zaidi apewe. Sasa huwezi ukampandisha mchezaji leo then utegemee 100% acheze wakati yupo matured aliesajiliwa. Mfano dogo yule alieyeenda Rangers Mbelgiji (jina limenitoka) alikuwa anaandaliwa mbadala wa Hazard. Hata hk mbona kaenda kuboronga.

4. Migogoro na wachezaji wakubwa
Tukianzia suala la Willian, mfano mechi ya fainali ya FA ya juzi juzi tu, mwalimu alikuja na mbinu ya 3-5-2 ambayo alishamsoma Mourinho na kujua lazima azuie zaidi hivyo kubaki na option ya kumwacha nje either Willian au Hazard. Ss ww ungemwacha nani na unataka matokeo? Pili, Conte ni watu jamii ya Ferguson, Martinez nk wanaoamini katika NIDHAMU YA MCHEZAJI HULETA MATOKEO CHANYA. Sasa mchezaji kujiona mkubwa kuliko timu case za akina Luiz et al ndiyo zinazoiingiza timu katika hasara za kubadilisha makocha. Lazima wakubali timu ni kubwa kuliko mchezaji.

5. Mfumo na ujenzi wa timu
Vilevile hili hebu tulinote down. Wachezaji wangapi wamesajiliwa? Timu kuitengeneza hadi kucheza mpira mzuri lazima muda upatikane. Mwaka jana watu humu walisema Conte kabeba kombe kwa kikosi cha Mourinho. Haya kaanza kujenga kikosi chake, mnasema hafai. Mourinho alifukuzwa kwa nini sasa kama kikosi kilekile kilitoa kombe na kilikile kikamaliza nafasi ya 10?. Tazama hata wengine kama Liverpool (poleni kwa kupoteza ktk fainali, lakini kuteleza si kuanguka), Tottenham, Man city et al wanaocheza mpira wa kuvutia utaona makocha walipewa rasilimali zote muhimu ikiwa pamoja na muda.
ni kweli unaloongea mkuu....ila tatizo kubwa ni kwamba, wanataka wakarabati uwanja, pili yule mama majukum yanamzidi, inabidi waajiri sport director, tangu emenalo aondoke yule mama amekuwa akishika position zaidi ya 1 pale clabun. ila naamn tuna wachezaji wa kutosha tukichanganya na waliopo kwenye mkopo, Kocha atapata best squad ya kupambana msim ujao.

Tunahitaji at list 3 world class players tukae powa kwa msim ujao.
 
ni kweli unaloongea mkuu....ila tatizo kubwa ni kwamba, wanataka wakarabati uwanja, pili yule mama majukum yanamzidi, inabidi waajiri sport director, tangu emenalo aondoke yule mama amekuwa akishika position zaidi ya 1 pale clabun. ila naamn tuna wachezaji wa kutosha tukichanganya na waliopo kwenye mkopo, Kocha atapata best squad ya kupambana msim ujao.

Tunahitaji at list 3 world class players tukae powa kwa msim ujao.
Hili nakubaliana na wewe
Sasa je "Chemistry" ya huo mchanganyiko wa "matured na academic players" itafanikiwa kufanywa na kocha asiekuwa na muda japo wa msimu mmoja akiwa klabuni hapo na akapata matokeo bora au yenye ushawishi?
Vilevile nimependa zaidi comment yako ya kuhitaji wachezaji wazuri na wenye uzoefu kama watatu tu then we will be on next season. Hapa ndiyo Conte utaona umuhimu wake wa kuendelea kuwepo pale darajani.
Kutofautiana kisera na kiutendaji katika kazi ni masuala ya kawaida ambayo naamini kuyatatua ni kuangalia vipengele vya mkataba, sera na mipango ya klabu inasemaje. Then kila kitu kitakuwa Ok
 
Hili nakubaliana na wewe
Sasa je "Chemistry" ya huo mchanganyiko wa "matured na academic players" itafanikiwa kufanywa na kocha asiekuwa na muda japo wa msimu mmoja akiwa klabuni hapo na akapata matokeo bora au yenye ushawishi?
Vilevile nimependa zaidi comment yako ya kuhitaji wachezaji wazuri na wenye uzoefu kama watatu tu then we will be on next season. Hapa ndiyo Conte utaona umuhimu wake wa kuendelea kuwepo pale darajani.
Kutofautiana kisera na kiutendaji katika kazi ni masuala ya kawaida ambayo naamini kuyatatua ni kuangalia vipengele vya mkataba, sera na mipango ya klabu inasemaje. Then kila kitu kitakuwa Ok
Conte ni inevitable kubaki pale, haelewan na board, haelewan na baadhi ya wachezaji, na anataka fungi kubwa la usajili!

he made it clear after the FA CUP that, he will never change, kwa kifupi uwezekano wake kubaki ni 30% mkuu.
 
Conte ni inevitable kubaki pale, haelewan na board, haelewan na baadhi ya wachezaji, na anataka fungi kubwa la usajili!

he made it clear after the FA CUP that, he will never change, kwa kifupi uwezekano wake kubaki ni 30% mkuu.
Nalielewa hili, lakini tusije mtimua Sarri anaepigiwa upatu wa kuchukua timu katikati ya msimu na kuanza kuhangaika na part time coach kama enzi za akina Boas et al
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom