Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
Labda wameamua kuibeba timu yao kwa nguvu.Duh nimeangalia replay ya game ya man utd na westham aisee nahisi kama zile bahasha za khaki za Ferguson zimerudi. Kadi nyekundu unfair na goli lingine la offside.
Anyway Man akicheza na liverpool labda draw!
Vovote vile watakavo pata matokeo ni sawa tu. Wakipata sare wao tu