Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wanakuja vizuri kweli, ila sidhani kama wanaweza kuwa hivyo kwa kipindi kirefu. Ila mpira ni mpira tusubiri tuone
Mkuu Mourinyo ni kocha mkubwa na mzoefu alipata shida kidogo hapo mwanzo sasa timu imekaa kwenye mstari atakomaa na hiyo hali ata kuzidi hapo. Na sasa ata wachezaji wake wenyewe wameanza kujiamini.
 
Mkuu Mourinyo ni kocha mkubwa na mzoefu alipata shida kidogo hapo mwanzo sasa timu imekaa kwenye mstari atakomaa na hiyo hali ata kuzidi hapo. Na sasa ata wachezaji wake wenyewe wameanza kujiamini.
Mkuu Mourinho hawezi kuwapa wachezaji wake comfort atawasifia wanapofanya vizuri (alivyoaanza sasa kwa Pogba) na wakifanya vibaya tu au kupoteza bahati mbaya utaona maneno yake.

Maneno ndo huwakera wachezaji sana na kuanza kupoteana
 
Mkuu Mourinho hawezi kuwapa wachezaji wake comfort atawasifia wanapofanya vizuri (alivyoaanza sasa kwa Pogba) na wakifanya vibaya tu au kupoteza bahati mbaya utaona maneno yake.

Maneno ndo huwakera wachezaji sana na kuanza kupoteana
Okay ngoja tuone mkuu
 
Ila msimu ujao Manchester utd itakuwa vizuri sana, naamini hilo.
Naona mmeshaanza nizamu ya woga mapemaaa, musihofu watani fixture ilitubeba
Okay ngoja tuone mkuu

Mkuu Mourinho hawezi kuwapa wachezaji wake comfort atawasifia wanapofanya vizuri (alivyoaanza sasa kwa Pogba) na wakifanya vibaya tu au kupoteza bahati mbaya utaona maneno yake.

Maneno ndo huwakera wachezaji sana na kuanza kupoteana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom