Nakubaliana kabisa na wewe so far Chelsea ina core ya wachezaji 5 ambao ndio wanaibeba timu (JT,Cahill,Matic,Cesc na Hazard) watapata taabu sana kama hao wachezaji watakuja kupata majeruhi.Then wameonyesha udhaifu wakicheza pungufu nakumbuka miaka ya nyuma ilikuwa ngumu sana kumfunga Morinyo akiwa pungufu,Mourinho ni master wa big match watu wengi wanafikiri Chelsea itafungwa na hizi timu kubwa (Man City,City,Arsenal,Liverpool) sioni dalili ya kufungwa na hizo team kwa sasa but timu inayoweza kuwafunga Chelsea ni kama Newcastle,WestHam au Southampton
Mkuu Timu hua inasajali wachezaji wangapi? Na Kwanini isajili wachezaji wote Hao km kunakua Na wachezaji watano tu wa kutegemewa? Hizo sababu mnazotoa za kuumia wachezaji sioni km ziko na Mashiko sn..
Nitawatolea mfano kidogo.
Costa ni majeruhi
Na Lemy ni majeruhi
Lkn ktk hiyo nafasi Drogba anawakilisha Vzr. Amecheza game tatu mpk sasa tangu kutokuwepo kwa Lemy na Costa na ametupia goli tatu....! Mnalakusema ktk Hilo?
Angalia Sasa nafasi za wachezaji wetu Alafu uangalie km majeruhi yakiingia yatatusumbua.
Golini tuna makipa watatu wote ni wazuri ingawa wanazidiana vitu tofauti tofauti.
Ukija kwa mabeki tuna mabeki wawili Ivanovic na Azp wanaweza kucheza nafasi yoyote ktk ulinzi...!
Yupo Terry, Cahill, Zouma, Luis,
Viungo wa Kati ndio kibao. Solanke, Ake, Obi, Ramires, Matic, Fabregas, Oscar
Na viungo wa pembeni kibao na wao. Hazard, Willian, Schullre, Salah.
Strikers. Drogba, Lemy, Costa.
Chelsea inawachezaji 24
Makipa Watatu
Mabeki 8 na mmoja Ake anaweza kucheza km DM.
Na tuna viungo 10 wa pembeni na Kati
Na strikers watatu...!
Na haiwezi kutokea wachezaji watano wakawa majeruhi kwa wakati mmoja na wa nafasi mola