Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
nipeni matokeo niko mbali
1-1
Man U yoso vs Chelsea ngangari
nipeni matokeo niko mbali
ila tupo pale kileleni Malafyale hatujafungwa msimu huu(sizungumzii magoli kupita nyavuni tukapoteza mechi),hakuna mechi hatujachukua points mpaka sasa,point moja ni point kubwa sana ila kufungwa ni aibu.1-1
Man U yoso vs Chelsea ngangari
Wakuu Leo Ndio Leo......!
Tuko pale OT kuwashikisha adabu Mashetani wekundu....!
Cc: Mkuu wa chuo Eiyer
1-1
Man U yoso vs Chelsea ngangari
Leo tunashusha Kichapo kwa Man Utd then tarehe 8 mwezi ujao tunakwenda kushusha Kichapo kwa LFC...!
Hii Ndio Chelsea bhana......!
Nilikwambia tubet ukawa kimya...pamoja na beki yetu dhaifu mmeshindwa kutufunga? Sasa baada ya January kununua CB, tunakuja kuvunja daraja..
naona mmefurahi kweli leo..
Saaaaanaaa .maana nyiye na mpiga domo wenu mkuu, Maureen mlileta dharau mkadhani ni mteremko na mna bahati sana nyie .vilevile kufurahi kupata point katika dakika ya lala salama, katika game ambayo mlikuwa mfungwe kuna ubaya? Acha ushirikina chifu .hata ungekuwa wewe ungefurahi...
Manchester United 1 - 1 Chelsea Match stats - 26/10/2014 Premier League - Goal.com
Man Utd v Chelsea - 26th Oct 2014 | Stats | Barclays Prem | Sky Sports Football
Stats dont lie mmeponea chupuchupu...
RVP
"Today showed everyone that we can compete
with the best in England"
Saaaaanaaa .maana nyiye na mpiga domo wenu mkuu, Maureen mlileta dharau mkadhani ni mteremko na mna bahati sana nyie .vilevile kufurahi kupata point katika dakika ya lala salama, katika game ambayo mlikuwa mfungwe kuna ubaya? Acha ushirikina chifu .hata ungekuwa wewe ungefurahi...
Manchester United 1 - 1 Chelsea Match stats - 26/10/2014 Premier League - Goal.com
Man Utd v Chelsea - 26th Oct 2014 | Stats | Barclays Prem | Sky Sports Football
Stats dont lie mmeponea chupuchupu...
Ulikua mdogo km Piriton.....! Hongera kwa kupata draw...!
Ni kawaida yangu, ni kawaida ya United .sisi si wapiga domo kama Chel$ki$ na mpiga domo mkuu Maureen, aliyekuwa mdogo kama piriton baada ya RvP kutupia dakika za lala salama, au Fergie time, kama zinavyojulikana pala OT..
Karibu utushangilie next week pale Etihad, najua utakuwa upande wetu kinafiki ili eti tumpunguze spidi Shitty kwa jili yenu...
Kz ya kuusaka ubingwa inafanywa na Timu yangu sio kuombea mpk Timu Fulani ipoteze au ishinde...! Man city akija darajani nampiga alkadhalika na wewe pia....! Ushinde au usishinde kwa Man City hiyo mie hainisumbui..!
Sawa chifu nafahamu kwa kupiga domo sikuwezi, maana mna master wa wapiga domo alamsiki
Man u wamefurahi huko kwenye jukwaa lao,