Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jaman drogba jamano dahhhhh ninaumia san nikimuoma kweny kiwango hichi
 
Chelsea team ya kawaida mno ila ina mashabiki hapa wanapiga makelele tu!
 
Nimebaki nacheka tu daaah huyu kocha van gaal ana gundu sana
 
njano.PNG
Haya "Makadi"ya njano nia nikupewa nyekundu tu!
 
Hauna team wewe maneno tu!Swansea alipata points 3 hapo wewe maneno tu
 
Hahahahah eti wanashangilia kutoa droo na chelsea kwel wanachekesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom