Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea anashinda hii mechi ya leo. Kwa vyovyote vile Morinho hawezi kubali kupunguza points leo. Anachotaka ni kutangaza ushindi mapema kabisa
 
JOSE MOURINHO Vs LOUIS VAN GAAL.

louis-van-gaal-jose-mourinho-406762.jpg


Aloysius Paulus Maria van Gaal...FULL NAME...Jose Mario dos Santos Mourinho Felix


Manchester United...CLUB...Chelsea


63...AGE...51


6ft 1in...HEIGHT...5ft 8in


Dutch...NATIONALITY...Portuguese


23...YEARS IN MANAGEMENT...14


6...TEAMS MANAGED...6


7...LEAGUE TITLES...7


3...DOMESTIC CUPS...6


1...CHAMPIONS LEAGUE TROPHIES...2
 
Chelsea anashinda hii mechi ya leo. Kwa vyovyote vile Morinho hawezi kubali kupunguza points leo. Anachotaka ni kutangaza ushindi mapema kabisa



Mkuu andybird314 Jose amekwisha Sema wazi juu ya umuhimu wa hii game ya Leo hasa hasa ktk kulinda nafasi Yake ya hapo juu!

Ukiangalia Man City Jana kafungwa na LFC wamepata draw Jana.... Sasa ili kujiweka ktk mazingira mazuri ya kuwania ubingwa hii game lazima tushinde....,!

Yani iwe isiwe Man Utd lazima apigwe akijitahidi sn man Utd atapata Draw.....!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu andybird314 Jose amekwisha Sema wazi juu ya umuhimu wa hii game ya Leo hasa hasa ktk kulinda nafasi Yake ya hapo juu!

Ukiangalia Man City Jana kafungwa na LFC wamepata draw Jana.... Sasa ili kujiweka ktk mazingira mazuri ya kuwania ubingwa hii game lazima tushinde....,!

Yani iwe isiwe Man Utd lazima apigwe akijitahidi sn man Utd atapata Draw.....!



Mkuu Ntuzu,

Nani awape draw? Nakuhakikishia leo Man U tunawapa kichapo....na hili lipo wazi kabisa.

Nani wa kumzuia theBlues? HAKUNA.

Na Man U hana uwezo huo, na wenyewe wanajua, ni ubishi tu wa kisoka.

Tusubiri muda ufike.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu andybird314 Jose amekwisha Sema wazi juu ya umuhimu wa hii game ya Leo hasa hasa ktk kulinda nafasi Yake ya hapo juu!

Ukiangalia Man City Jana kafungwa na LFC wamepata draw Jana.... Sasa ili kujiweka ktk mazingira mazuri ya kuwania ubingwa hii game lazima tushinde....,!

Yani iwe isiwe Man Utd lazima apigwe akijitahidi sn man Utd atapata Draw.....!



Mkuu Ntuzu,

Nani awape draw? Nakuhakikishia leo Man U tunawapa kichapo....na hili lipo wazi kabisa.

Nani wa kumzuia theBlues? HAKUNA.

Na Man U hana uwezo huo, na wenyewe wanajua, ni ubishi tu wa kisoka.

Tusubiri muda ufike.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kunguru mjanja nilichopenda Hawa makocha wote maelezo Yao ktk Vyombo vya habari mpk sasa yamekua sio ya kurushiana maneno km Mzee Wenger na mipango Yao ya maandalizi ya game imebaki kua ndani ya timu zao...!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ntuzu,

Nani awape draw? Nakuhakikishia leo Man U tunawapa kichapo....na hili lipo wazi kabisa.

Nani wa kumzuia theBlues? HAKUNA.

Na Man U hana uwezo huo, na wenyewe wanajua, ni ubishi tu wa kisoka.

Tusubiri muda ufike.



I gotcha mkuu successor
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kunguru mjanja nilichopenda Hawa makocha wote maelezo Yao ktk vya habari mpk sasa yamekua sio ya kurushiana maneno km Mzee Wenger na mipango Yao ya maandalizi ya game imebaki kua ndani ya timu zao...!

Ni kweli mkuu Ntuzu hayo usemayo hawa makocha naona wote wanaheshimiana sana na pengine wana uhusiano mzuri sana
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mkuu Ntuzu hayo usemayo hawa makocha naona wote wanaheshimiana sana na pengine wana uhusiano mzuri sana



Ni kweli mkuu.....! Hawa makocha wana uhusiano mzuri sn na ni marafiki....! Kwahiyo kilichopo kwao ni timu kucheza uwanjani na kushindana sio kurushiana maneno km Pellegrino au Wenger.....!
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaa karibu mkuu na were tule maini.......!

Mkuu wa chuo anasema tunapigwa Leo....!
Leo mnachezea kichapo tu...

Jana Azam alikuwa unbeaten kapigwa...

Barcelona alikuwa hajaguswa jana kaguswa...

Juventus naye kaguswa...

Leo uwezekano wa chelsea kupigika na wenyewe upo...
 
Leo mnachezea kichapo tu...

Jana Azam alikuwa unbeaten kapigwa...

Barcelona alikuwa hajaguswa jana kaguswa...

Juventus naye kaguswa...

Leo uwezekano wa chelsea kupigika na wenyewe upo...


Hawezi tokea mkuu.....! Bado km dakika 90 uone moto.....!
 
Navile huku hamna hata mwenye gari nimekuja washtua kuwa Bado nusu saa karibuni kule jukwaa jekundu..!!
Mkianza kutembea tembea sasa hivi mtafika tuu msiwe na wasiwasi vijana wa Ubungo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom