rudi kwenu kyela ukavue samaki.
mechi yako vs Hull City umecheza kwako nyumbani unashindwa kufunga hata goli 1.
sisi katika mechi 9 tulizocheza; tumeshinda 7, na tumetoka sare 2.
wewe uko wapi? Balotelli..mkubwa wee.
mechi yako vs Hull City umecheza kwako nyumbani unashindwa kufunga hata goli 1.
sisi katika mechi 9 tulizocheza; tumeshinda 7, na tumetoka sare 2.
wewe uko wapi? Balotelli..mkubwa wee.
Mechi moja tu imebaki nyie kupata points nayo ni QPR kwani baada ya hapo ni kipigo tu!
Hauna team