Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
bold hahahaha ............ huyo bado sana! hata huyo muller huwezi ukamfananisha na hazard coz huyo anajua kufunga tu hana kingine! timu ikizidiwa hawez ku2mia juhudi binafsi. Nasri zamani! kidogo ungesema Roben ungeeleweka.
2kiachana na messi na cR7,unafikir wanaofuatia kw kudribo na kukusanya kijiji wanafuatia akina nani?! ....... kama siyo haz10 basi roben!
Grabd PA
Kama wewe leo unakuwa kocha kati ya Hazard na Luis Diaz Suarez unamchagua nani?
Naapia ukimchagua Hazard management inakufukuza kazi jioni hiyo hiyo kwa hasira!
Hazard bado sana hamfikii hata Di Maria Angel!Utamchagua Hazard umuache Di Maria?