Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

wakuu salama?

nilikuwa nimetulia tulii..nashangilia ushindi wetu.

Nina imani na kazi ya Jose Mourinho.


Novemba 25 tutacheza na SHALKE 04..na sasa Legend Di Matteo amepewa ajira ya kuifundisha SHALKE 04. .what a game!

Kwema mkuu?
Nakukumbusha jiandae kisaikolojia nakupiga hapo hapo Darajani safari hii na ukija Anfield nakurarua rarua!

GJ karudi,Allen is on the way;Dan na Sakho wamepona-What a depth?
 
Nakusubiria kwa hamu sana mkuu!!!

Mkuu wewe una keeper bora duniani kwa sasa bado hauna team!

Chelsea atasimamishwa na Majogoo ya Meysayside tu sio na nyie!Unaweza ukacheka sasa lkn utanikumbuka kuwa nilisema haya maneno
 
Mndengereko utampiga maana bado hana team bali ana keeper mzuri sana!

Majogoo yanakupiga kote kuwili safari hoo


Hahahaaaa mkuu Malafyale umenifurahisha sn Aiseee!

Karibu sn mkuu ktk Uzi WETU jisikie Amani na Huru ktk kutoa maoni yako!


Unakumbuka Msimu uliopita timu yetu Ndio iliyokukosesha kombe? Na hilo ni kosa la BR maana huwezi kuwambia wachezaji washambulie tu eti kisa unataka kuifunga Chelsea Au kumfunga Mourinho! Kitu ambacho ni hatari! Kocha angekua muelewa angewambia wacheze Kwa tahazari angalau wapate droo tu ingewasaidia Kupata kombe!

Huwezi kunifunga Msimu Huu! Bado huna timu na Kocha wako Hana mipango kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Kwema mkuu?
Nakukumbusha jiandae kisaikolojia nakupiga hapo hapo Darajani safari hii na ukija Anfield nakurarua rarua!

GJ karudi,Allen is on the way;Dan na Sakho wamepona-What a depth?

Lol...Sakho mzee wa kususa??? Khe kbe khe khe kheeeeee.

Umemsahau na jembe Kolo Toure...lol

Nyie bado sana kutufunga msimu huu achilia mbali kushinda. Yani hata tukiwafunga 4 - 1 nitajihesabia tumeshindwa. Nyie kufunga goli kwetu?? #ndoto
 
vijogoo vimtishe nani? wee ongea tu; ..sisi yetu vitendo.



Kwema mkuu?
Nakukumbusha jiandae kisaikolojia nakupiga hapo hapo Darajani safari hii na ukija Anfield nakurarua rarua!

GJ karudi,Allen is on the way;Dan na Sakho wamepona-What a depth?
 
Mkuu wewe una keeper bora duniani kwa sasa bado hauna team!

Chelsea atasimamishwa na Majogoo ya Meysayside tu sio na nyie!Unaweza ukacheka sasa lkn utanikumbuka kuwa nilisema haya maneno

wenzako kule kwenye uzi wenu wanasema eti chelsea saizi yake sio Liverpool kwa hiyo tusiwe tunaenda kwenye uzi wao,
 
Hahahaaaa mkuu Malafyale umenifurahisha sn Aiseee!

Karibu sn mkuu ktk Uzi WETU jisikie Amani na Huru ktk kutoa maoni yako!


Unakumbuka Msimu uliopita timu yetu Ndio iliyokukosesha kombe? Na hilo ni kosa la BR maana huwezi kuwambia wachezaji washambulie tu eti kisa unataka kuifunga Chelsea Au kumfunga Mourinho! Kitu ambacho ni hatari! Kocha angekua muelewa angewambia wacheze Kwa tahazari angalau wapate droo tu ingewasaidia Kupata kombe!

Huwezi kunifunga Msimu Huu! Bado huna timu na Kocha wako Hana mipango kabisa!

Nimeona ubovu wenu kwenye backline hasa ya kati!Matic tu ndiyo kikwazo hao wengine one-two in form Lallana na Dan tunakuchapa!
 
Last edited by a moderator:
wenzako kule kwenye uzi wenu wanasema eti chelsea saizi yake sio Liverpool kwa hiyo tusiwe tunaenda kwenye uzi wao,

Kalou tunahitaji challenge kwenye uzi wetu!Kama umenisoma nimeongelea hilo!

Ni mihemuko ya kufanya vibaya tu inatusumbua na mtuvumilie na karibuni sana kule
 
Nimeona ubovu wenu kwenye backline hasa ya kati!Matic tu ndiyo kikwazo hao wengine one-two in form Lallana na Dan tunakuchapa!



Mi naamini umeandika hii hoja Kwa kujifurahisha tu mkuu! Kwasababu unaelewa vzr kabisa Kua Chelsea imekalika vzr kila idara!

Ntakukumbusha kitu kimoja umesahau. Msimu uliopita nilipokuja kwenu, Kalas alicheza beki wa Kati na alifanya vzr sn kiasi hawa kina Suarez hawakufanya chochote kile!

Sasa Ndio maana nimekwambia unajifariji tu mkuu!
 
Thanks for all the messages! I'm already feeling better. Now I'm resting to be recovered and back on the pitch soon. Great victory yesterday - Thibaut Courtouis
 

Attachments

  • 1412750860131.jpg
    1412750860131.jpg
    98.2 KB · Views: 76
By the Way: Andre schuerrle's goal aginst Burnley was voted the best EPL goal for August...
 

Attachments

  • 1412750927956.jpg
    1412750927956.jpg
    122.2 KB · Views: 76
Jose Mourinho has never lost as an opposition coach v Arsene Wenger in any competition (W7 D5 L0) #CFC
 

Attachments

  • 1412751325936.jpg
    1412751325936.jpg
    73.3 KB · Views: 80
  • 1412751352272.jpg
    1412751352272.jpg
    58 KB · Views: 76
Eden Hazard has scored all seven of his PL penalties. Of players with 100% records, only Dimitar Berbatov (9/9) has more #CFC
 

Attachments

  • 1412751767422.jpg
    1412751767422.jpg
    47.4 KB · Views: 72
7 - Cesc Fabregas has as many assists as the whole arsenal team do.

Hey Arsene, did you see that assist from Cesc? I guess you don't need that... Right?
 

Attachments

  • 1412752780588.jpg
    1412752780588.jpg
    22.9 KB · Views: 83
Our weekend goal scorers...
 

Attachments

  • 1412752999810.jpg
    1412752999810.jpg
    56 KB · Views: 122

Similar Discussions

Back
Top Bottom