Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
madam ladyfurahia; lini kocha wetu alimpiga huyo babu?
jamani wadau nilipotea siku 2 hizi; lakini sasa nipo hewani kama kawaida.:A S-eek:
Karibu sn mkuu....!
madam ladyfurahia; lini kocha wetu alimpiga huyo babu?
jamani wadau nilipotea siku 2 hizi; lakini sasa nipo hewani kama kawaida.:A S-eek:
Nakupiga home and away safari hii!
Kwa mabeki zako wazee hawa nakupiga lzm
ulitanga amfananishe na mvuta bange balotel .......
Grand PA
Mkuu Malafyale wa Kyela mzito sana wa kuelewa;
jenga kwanza timu yako mkuu LFC inapotea hivi hivi..:wacko:
Kwa beki Cahil na Terry sina hata wasi wasi wa kukupiga!!
hivi lile sakata la kocha wetu kumpiga kocha wa arsenal limefikia wapi best Ntuzu ?
Kwa beki Cahil na Terry sina hata wasi wasi wa kukupiga!!
Kwa Striker gani mkuu? Balo au?
Kwa beki Cahil na Terry sina hata wasi wasi wa kukupiga!!
Twambombo Malafyale?
Wewe wa kuidharau partnership ya Cahill na JT? Ulishindwa kuwafunga ukiwa na Suarez utaweza na kichwa maji Balotelli?
Wanaowakaribia hawa jamaa ni Kompany na Mangala, sio wale wachovu wenu Sakho na Lovren, safari hii mkifika top 4 itakua miujiza mikubwa sana
I really do not care how far will go but 100% nakupiga kote kuwili mwaka huu
Twambombo Malafyale?
Wewe wa kuidharau partnership ya Cahill na JT? Ulishindwa kuwafunga ukiwa na Suarez utaweza na kichwa maji Balotelli?
Wanaowakaribia hawa jamaa ni Kompany na Mangala, sio wale wachovu wenu Sakho na Lovren, safari hii mkifika top 4 itakua miujiza mikubwa sana
Dan na Lallana na pembeni kuna Sterling na Markovic wote hao under 25!Cahil na Terry ni vikongwe
Kama kocha wenu ndiyo alitaka kupiga why FA imfungulie mashtaka Wenger?
Matter of fact Kocha wenu ndiyo victim alitaka kuchapwa na Wenger
Dan na Lallana na pembeni kuna Sterling na Markovic wote hao under 25!Cahil na Terry ni vikongwe
I really do not care how far will go but 100% nakupiga kote kuwili mwaka huu
madam ladyfurahia; lini kocha wetu alimpiga huyo babu?
Jamani wadau nilipotea siku 2 hizi; lakini sasa nipo hewani kama kawaida.:a s-eek:
kocha wetu hakumpiga yule wenger...! Ila wenger ndio alikuja ktk eneo la kocha wetu na kumsukuma kocha wetu..!