Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ngoma imelala....1-0, chelsea oyeeeeeeeeeeee!!!!
 
Ishakuwa noma hii duh!! naona hadi Ab Tichaz naye amerudi hehehe!!

Hahaha...tulikuwa tupo tupo tu tumejificha. Umeona bao lilivyofufua
watu?

Michael-Essien-Chelsea-Premier-League_2382382.jpg
 
haya wazee wazima wamekubali tena ingawaje leo Chelsea wamesafa ile mbaya....kweli ManU ni timu ya kuogopewa
 
haya wazee wazima wamekubali tena ingawaje leo Chelsea wamesafa ile mbaya....kweli ManU ni timu ya kuogopewa
Mnajipa moyo eh? Hahahaha, mwaka huu imekula kwenu mkuu... L'pool imewazamisha, Chelsea imewalaza & Arsenal....?
 
haya wazee wazima wamekubali tena ingawaje leo Chelsea wamesafa ile mbaya....kweli ManU ni timu ya kuogopewa

Mpira magoli kaka..Hayo mengine ni yale ya 'japo watufunga lakini chenga twawala'..Chelsea ndo timu ya kuogopewa aisee na si hao Man utd
 
Vijana kazi nzuri ila game ilikuwa tait kiukweli Man U walikuwa vizuri sana leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom