Any updates? Nimeacha kuangalia jama, sitaki kuangalia kabisaaa mpaka final resultsIshakuwa noma hii duh!! naona hadi Ab Tichaz naye amerudi hehehe!!
Any updates? Nimeacha kuangalia jama, sitaki kuangalia kabisaaa mpaka final results
Umeisha mkuu...Bado dak ngapi mwambieni refa amalize mpira!
Ishakuwa noma hii duh!! naona hadi Ab Tichaz naye amerudi hehehe!!
teh teh teh, wacha nipate mvinyo... Tumewazidi points 5 sasaHongereni sana Chelsea...Kazi nzuri sana
Mnajipa moyo eh? Hahahaha, mwaka huu imekula kwenu mkuu... L'pool imewazamisha, Chelsea imewalaza & Arsenal....?haya wazee wazima wamekubali tena ingawaje leo Chelsea wamesafa ile mbaya....kweli ManU ni timu ya kuogopewa
Umeisha mkuu...
Chelsea 1 - 0 Man U
haya wazee wazima wamekubali tena ingawaje leo Chelsea wamesafa ile mbaya....kweli ManU ni timu ya kuogopewa