Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahaha naona washabiki wa Chelsea wameanza kutokea in droves.
 
Dah,

Dakika ya 87, Man U wanashambulia kwa kasi goli la Chelsea...

Chelsea 1 - 0 Man U
 
Eh,

Dakika 5 zilizoongezwa ni fursa ya Man U...

Gaaddeeeem!!!!...Wameshaanza zao baada ya kulinywa.
Mungu atakua nasi leo.Kem subiri muone

Leo lazima afungwe mtu tu...hapatoshi hapa nilipo.
Shukran Invii kwa updates.
 
Chelsea 1 ManU 0, goli limefungwa na Terry
 
Ishakuwa noma hii duh!! naona hadi Ab Tichaz naye amerudi hehehe!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom