Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

I hope mechi haitoharibika maana naona tushapandwa na mihasira.
 
I hope mechi haitoharibika maana naona tushapandwa na mihasira.
Wachezaji wameshtuka, hakukuwa na matarajio ya goli mida hii. Ila Man U wanaweza kufunga goli muda si mrefu, ni wataalam wa kulazimisha magoli...
 
Hapa inabidi wachezaji wa Man U watulie kama tunataka kurudisha goli. Naona Drogba aliwekwa mfukoni leo lol!!
 
Kalou anachukua nafasi ya Drogba, Owen anachukua nafasi ya nani?

Dakika ya 83
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom